Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Ni mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
We msimbe una changamoto ya akili eeeeh au umeandika huku umelewa

Cc Natafuta Ajira
 
Back
Top Bottom