Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Wewe unaishi nchi gani tuanzie hapo kwanza, unaongelea hawa hawa wanaume wa kiafrika ambao housegirl akifanya hayo majukumu, mume anaanza kutembea naye kwa madai kwamba mke kajisahau kila kitu kamuachia dada hivyo mke naye afanye
Kimsingi sikuelewi nikuweke katika kundi ganii,Umeelewa ulichokiongea kule juu ww unafikiria maisha ni mahusiano tu (Heshima na Majukumu ya Ndani) ila ni extra miles kwa maana tunahitaji mtu mwenye maono,dira na jitihada chanya, wanaume kwa kiwango kikubwa wanaoffer huduma nyiingi na wanawake wanatakiwa wawe wasaidizi katika namna ya kuwa backup iwapo mwanaume mambo yake hayaendi sawa
 
Mwanaume kiasili ni mtawala,kiongozi,mbeba majukumu,mtoa huduma,mpambanaji..
Kuna wapumbavu wanalazimisha kuswitch izo roles wenyewe wanaita feminism. Wanataka nafasi ya mwanaume lakini hawataki wajibu unaomfanya mwanaume kupewa iyo nafasi. Wanataka privilege ya mwanamke lakini hawataki wajibu unaomfanya mwanamke kupewa iyo privilege, ndio maana sasa hivi hakuna balance kwenye mahusiano kwa sababu ile equation ya provider and reciever imevulugwa
 
Hapana nia ya hayo yote ni kutaka kuweka heshima tu wala hakuna kingine, huwa mnapenda kila mnapokutaka na mwanamke mjitutumue kwamba ninyi ni vidume, ili wasiwadharau na hata wakati mwingine wakihitaji tena basi wawakumbuke ninyi tu
Kuweka heshima ni kweli, lakini kumbuka huwezi "kumtoa maji" mwanamke kwa shoo ya dakika 2, na hili la mwisho ni muhimu sana kwake maana ndo humshibisha
 
hivi mwanamke akiitwa single mother na mwanaume akiitwa single father ni kipi kitachukuliwa kwa uzito zaidi,
Mwanamke singo mom anaonekana hamnazo, ila kwa mwanaume hilo siyo ishu maana siku yoyote na muda wowote akitaka anachukua zigo (hata Jadda kama jimbo lipo wazi) anasweka ndani chap.
au mwanamke akiitwa malaya na mwanaume akiitwa malaya ni yupi itamletea impact kisaikolojia ukizingatia wanaume huwa mna vimisemo vyenu vya kutetea maovu kwa jinsia yenu
Mwanamke malaya hana thamani kabisa na hafai.
Ila tukubaliane kwanza, hakuna mwanaume malaya.. kwa mfano yule Baltasar Ebang Engonga huwezi kumuita malaya, bali ni shababi, rijali, kidume, dume la mbegu, kiwembe, nk.
 
Sasa mkuu tuongee tu ukweli kwenye masuala ya ngono na mahusiano ni nani ambaye akitukanwa matusi yake yanachukuliwa kwa uzito kwenye jamii, hivi mwanamke akiitwa single mother na mwanaume akiitwa single father ni kipi kitachukuliwa kwa uzito zaidi, au mwanamke akiitwa malaya na mwanaume akiitwa malaya ni yupi itamletea impact kisaikolojia ukizingatia wanaume huwa mna vimisemo vyenu vya kutetea maovu kwa jinsia yenu
Ni mwanamke.
 
Mwanamke singo mom anaonekana hamnazo, ila kwa mwanaume hilo siyo ishu maana siku yoyote na muda wowote akitaka anachukua zigo (hata Jadda kama jimbo lipo wazi) anasweka ndani chap.

Mwanamke malaya hana thamani kabisa na hafai.
Ila tukubaliane kwanza, hakuna mwanaume malaya.. kwa mfano yule Baltasar Ebang Engonga huwezi kumuita malaya, bali ni shababi, rijali, kidume, dume la mbegu, nk.
Hivi ninyi si ndio huwa mnajisifu kwamba mnatumia logic sasa hebu niambie tendo linalohusisha jinsia mbili linakuwaje kosa kwa jinsia moja halafu hapo hapo likawa sahihi kwa jinsia nyingine hiyo ni logic ya wapi, ni kama mnataka kusema wanaume wanafanya na viumbe wengine na wanawake wanafanya na viumbe wengine, yani ni sawa na kusema zile pande mbili za shilingi moja iko sahihi kuwepo pale ila nyingine haiko sahihi kuwepo pale hebu niambie hiyo ni logic ya namna gani
 
Kwamba utoe hela yako kusolve matatizo ya ukweni?
Why not.?!!😹
Kwani nyie wanaume mnatoa kiasi gani cha kutisha huko ukweni?
Si hizi hizi pesa mbuzi tu.!! Mnaweza kusolve tatizo la 20million?
 
Najua mtanitukana ila wapo wanawake weeengi sana wako kwenye ndoa na waume wenye vipato vizuri tu ila familia inakula,soma,tibiwa,valishwa na kila kitu kwa vihela vya mama.
Kuna wanawake WENGI wako kwenye ndoa ila wanateseka kama wajane.
 
Najua mtanitukana ila wapo wanawake weeengi sana wako kwenye ndoa na waume wenye vipato vizuri tu ila familia inakula,soma,tibiwa,valishwa na kila kitu kwa vihela vya mama.
Kuna wanawake WENGI wako kwenye ndoa ila wanateseka kama wajane.
Tatizo wana-date wanawake njaa, na wavivu wanaotumia mashimo km uwekezaji 🤣😹😹
 
Mfano hz siku za sikukuu

Kuna jamaa wanahakikisha mke kasuka,mchepuko nao umesuka

Watoto wote wamenunuliwa nguo wa mchepuko na familia kuu
Kama kuwa mwanaume automatically unageuka superhero mbona kuna vitoto vina baba ila vinatembea kaptura zimetoboka,
Tatizo wana-date wanawake njaa, na wavivu wanaotumia mashimo km uwekezaji 🤣😹😹
Hii mada ni kama inasema ukiwa mwanaume automatically unakua superpower za kupata hela ila vipi kuhusu wale wanaume wanaoshinda wamevaa msuli wanacheza bao ila muda wa msosi ukifika anarudi home anakuta sotojo safi la nazi.
Kuna dada alikua akiishi fancy marriage life.Kaz ila mumewe akapata kesi kazin akasimamishwa.Yule dada akaweka aibu pemben akawa anauza icecream ,visheti,karanga shuleni kusongesha maisha na saa ingine alikua anampa mumewe pocket money anamuambia adishinde ndan atoke akapunguze mawazo ila hawa tuwasamehe bure wanaokota wauza nyapu😃
 
Ni mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
Si anapata mimba
 
Hivi ninyi si ndio huwa mnajisifu kwamba mnatumia logic sasa hebu niambie tendo linalohusisha jinsia mbili linakuwaje kosa kwa jinsia moja halafu hapo hapo likawa sahihi kwa jinsia nyingine hiyo ni logic ya wapi, ni kama mnataka kusema wanaume wanafanya na viumbe wengine na wanawake wanafanya na viumbe wengine, yani ni sawa na kusema zile pande mbili za shilingi moja iko sahihi kuwepo pale ila nyingine haiko sahihi kuwepo pale hebu niambie hiyo ni logic ya namna gani
Hahaha,
Haya mambo ndo yapo hivyo tu, hayajaanza leo. Tatizo linakuja pale mnapotaka kubadili mambo kwa kisingizio cha usawa.

Kuna yule Nabii mmoja anaitwa Suleiman, kwa mujibu wa maandiko alioa wake 700, akaongeza vimada 300, akamiliki jumla ya manzi 1000 na hakulaumiwa!

Hata wewe hapo ukianza kufuga kuku unaweza kuwa na jogoo 1 na majike 15 au 20. Huwezi kuweka jike 1 na majogoo 15, yataua.

So, mambo mengine ni asili, tukubali tu
 
Havipo kwenye mkataba wa ndoa ila vipo kwenye tamaduni zetu, kama hutaki kuhudumia familia ya mkeo basi nawe usitake mkeo alee familia yako, halafu ni wanaume wa wapi hao ambao wanahudumia ukweni na bado wakienda wanasaidia kazi za nyumbani
Kwamba niliona nihudumie familia yao na si yangu na mke wangu?!
 
Hahaha,
Haya mambo ndo yapo hivyo tu, hayajaanza leo. Tatizo linakuja pale mnapotaka kubadili mambo kwa kisingizio cha usawa.

Kuna yule Nabii mmoja anaitwa Suleiman, kwa mujibu wa maandiko alioa wake 700, akaongeza vimada 300, akamiliki jumla ya manzi 1000 na hakulaumiwa!

Hata wewe hapo ukianza kufuga kuku unaweza kuwa na jogoo 1 na majike 15 au 20. Huwezi kuweka jike 1 na majogoo 15, yataua.

So, mambo mengine ni asili, tukubali tu
Mkuu ogopa sana mtu anayejadili hoja kwa kusema haya mambo ndio yapo hivyo tu, jambo kuwepo toka zamani siyo kigezo cha kuwa ndio asili tunachojadili ni logic ya jambo husika na siyo limekuwepo kwa muda gani, hiyo mifano mnayoitoa ya kina Suleiman siyo kwamba hayo waliyoyafanya yalikuwa sahihi

Wale manabii hata kuua waliua ila walizidi kubarikiwa lakini hutasikia watu wakisema kuua siyo dhambi kwa sababu kina Suleiman waliua na walibarikiwa, hata hiyo mifano ya wanyama pia siyo relevant kwa sababu wewe kuweka jogoo moja na matetea kumi ni kwa sababu za kibiashara na kupata faida zaidi, ukizingatia wanyama hawajui gharama za kulea, kusomesha, malazi, mavazi, matibabu kwa watoto wao kama binadamu

Na ndio maana wewe ukawa na utashi na utambuzi kuliko wanyama hivyo kutakiwa kuishi kwa ustaarabu na utaratibu maalum, sasa inashangaza pale ambapo wewe ndio unawatolea mifano wanyama kama role models wako na kutaka kuwaiga, kisa tu wanasayansi wamekuambia kuwa wewe uko class moja na wanyama sasa kama ni hivyo kwanini usiwaige hao wanyama kwenye kila kitu ni kipi kinakufanya uchague uige baadhi
 
Back
Top Bottom