Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Kwamba niliona nihudumie familia yao na si yangu na mke wangu?!
Siyo lazima kuhudumia kwao ila ukiamua kuhudumia basi usitake kusifiwa, maana hata yeye akienda kwenu lazima kuna majukumu atakuwa anayafanya ambayo kwake siyo lazima, hiyo siyo sheria bali ni tamaduni tu ambazo baadhi ya jamii waliziweka
 
Siyo lazima kuhudumia kwao ila ukiamua kuhudumia basi usitake kusifiwa, maana hata yeye akienda kwenu lazima kuna majukumu atakuwa anayafanya ambayo kwake siyo lazima, hiyo siyo sheria bali ni tamaduni tu ambazo baadhi ya jamii waliziweka
Wewe unafata hizo tamaduni au hufati
 
Wewe unafata hizo tamaduni au hufati
Hapa hoja siyo mimi kufuata au kutokufuata hizo tamaduni, hoja ni kwamba kama mwanaume anahudumia wakwe zake asitake kusifiwa kwani hata mke naye analea wakwe zake, na kama mume anaona hawezi kuhudumia wakwe zake basi amruhusu mkewe atafute pesa ili ahudumie familia yake na wote tunajua sifa za mwanamke anayejitafutia pesa zake
 
Hapa hoja siyo mimi kufuata au kutokufuata hizo tamaduni, hoja ni kwamba kama mwanaume anahudumia wakwe zake asitake kusifiwa kwani hata mke naye analea wakwe zake, na kama mume anaona hawezi kuhudumia wakwe zake basi amruhusu mkewe atafute pesa ili ahudumie familia yake na wote tunajua sifa za mwanamke anayejitafutia pesa zake
Ikoje
 
Back
Top Bottom