Sisi ndio wanaume, hampaswi kujua

Ni mambo ya kawaida tu hayo wala msifanye ionekane kama ni ajabu sana, wanaume wanahudumia kwa sababu they expect something in return toka kwa wanawake kama heshima na kufanyiwa majukumu ya nyumbani, lakini mwanamke akihudumia anapata nini in return toka kwa mwanaume
 
Unatuchapa mishale bibie, hutaki tusifiwe
 
Hilo ni jibu tosha kakabisakuna giver na reciever
don't try to switch roles, nature itakupinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…