Dennoo enterprise
Senior Member
- Aug 29, 2024
- 131
- 90
- Thread starter
- #21
Mzigo wa AC upo wa kutosha karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Air-cooler inatumia maji kupooza hewa huku AC haitumii maji kupooza hewaTofauti katika ufanyaji kazi kati ya Air-cooler na AC ni ipi?
Kitendo cha kutumia maji hakiwezi kusababisha Nimonia (Pneumonia)?Air-cooler inatumia maji kupooza hewa huku AC haitumii maji kupooza hewa
Ac ni nzuri ila kwa sababu ya baadhi ya watu wana kipato kidogo wanaprefer air-coolerKitendo cha kutumia maji hakiwezi kusababisha Nimonia (Pneumonia)?
Nauliza maana sisi wa huku milimani kwenye baridi hayo mambo hatuna ujuzi nayo.
Na katika hizo njia mbili ipi ni bora zaidi kwenye maeneo yenye joto kubwa kama maeneo ya bonde la ufa?
Kuna tofauti kuu kadhaa kati ya Inverter-based air conditioner na Non-inverter air conditioner, ambazo zinaathiri ufanisi, matumizi ya umeme, na utendaji wa jumla. Hizi ni tofauti hizo:Tofauti ya Inverter na Non-inveter ni ipi katika:
- technically
- economically
- reliability
- convenience
- efficiency
- operating costs
Nishaona hapo juu Inverter based A.C bei juu kuliko Non-Inveter. Kwanini?
Mteja akija utamshauri achukue aina gani
Ac ikiwa inverter haina ulazima wa kufunga AVSAVS inafungwa kwenye AC ipi kati ya hizo aina mbili na je, kuna ulazima wa kuifunga?.
Kujaza gas ni ac ambayo ilishatumika mdaumesema kuna kujaza gesi kwenye AC mie nalijua ukifunga umefunga.! kwani AC inakija ikiwa tupu ila ukitaka kufunga ndio unaijaza gesi.? na hiyo gesi inatumika kwa miezi mingapi itakuwa imeisha hivyo kuhitaji kujaza tena na pia ni mda gani upite ndio uifanyie service mashine na pia utajuaje kama gesi imeisha kwenye AC.?
Ninayo Ac aina ya Samsung 24btu. toka nimenunua sijaitumia sana kutokana na ukubwa wake na mimi sebule yangu ni ndogo sana. Ningependa kubadilisha nipate angalau 12btu. Kama kuna mtu anahitaji A/c kubwa anaweza akanipatia hiyo ndogo tufanya kubadilishana. Nilinunua bila kupata elimu ya kutosha.Karibuni