Sisi ni mabingwa wa kufunga AC karibu tukuhudumie

Sisi ni mabingwa wa kufunga AC karibu tukuhudumie

Kwanini AC inaisha gesi wakati kwenye mzunguko wake hakuna uvujaji,
ges inapotea wapi?
Gesi kwenye AC inapotea au tuseme kuisha au kupunguza kabisa Kwa sababu ya leakage yaani kuvuja. Hata AC mpya inaweza kuisha gesi. Gesi kwenye AC inaweza kuvuja kwenye zile pipe zake, kwenye condenser ya nje na overplater yaani condenser la ndani au kwenye zile joint zake pale unapotaka kufunga zile pipe inawezekana fundi akafunga upande na gesi ikavuja na kuisha hata kama AC ni mpya. Usikubali kuongezewa gesi Kila siku Kwa kuwa tu eti fundi amekuambia, ni lazima fundi aitafute leakage aizibe ndo ajaze gesi, gesi ni bei ghali pia. Mfano Kuna watu hawajui hivyo Kila siku au siku kadhaa hujaziwa gesi, huo ni utapeli tu imagine Gesi ya bei rahisi tu kilo ni karibu 16,000 hiyo ni R22 tu, ikiwa ni R32 au R410 gesi yake Iko juu sana.

Nahitimisha kuwa gesi kwenye AC haiishi, ikiisha jua Kuna kuvuja. Mafundi wengi huangalia condenser ya nje tu akiona shwari basi anasema haivuji ngoja tujaze gesi tu, kumbe Kuna joint lazima ziangaliwe, overplater nalo lote liangalie Hadi pipe nazo ziangaliwe, changamoto ni wamiliki wa AC nadhani wakiambiwa watoe kiasi Fulani cha pesa wanaleta tabu ndio maana mafundi wanapiga na kusepa, AC moja tu kama inavuja sehemu ndogo unaweza chukua siku nzima kugundua leakage, hivyo wabongo wengi wanadharau kazi za watu ndo maana mafundi wanawadanganya.
 
Hivi kama nimetu dika ac ya btu 18 nataka kuweka ya 24 nabadilisha lile panga boi la nje au system nzima?
Nunua mpya tu, huwezi kubadilisha maana Kila kitu kwenye AC Kiko perfect na size yake. AC size 18 vitu vyake ni tofauti na 24, mfano capacitor ya compressor ya size 24 ni tofauti na 18. MF 30 capacitor ya 18 huwezi kuiweka Kwa 24, hata feni la ndani na nje pia ni size tofauti, capacitor za feni Kwa 18 na 24 pia ni tofauti, kadi zake pia ni tofauti labda uchukue universal, compressor zake za 18 btu na 24 pia ni tofauti hata bodi pia ni tofauti yaani ni Bora uchukue mpya, then angalia ukubwa wa chumba chako Ili upate AC sahihi ita fundi funga ule upepo, jua Kali sana Sasa hivi.
 
Nunua mpya tu, huwezi kubadilisha maana Kila kitu kwenye AC Kiko perfect na size yake. AC size 18 vitu vyake ni tofauti na 24, mfano capacitor ya compressor ya size 24 ni tofauti na 18. MF 30 capacitor ya 18 huwezi kuiweka Kwa 24, hata feni la ndani na nje pia ni size tofauti, capacitor za feni Kwa 18 na 24 pia ni tofauti, kadi zake pia ni tofauti labda uchukue universal, compressor zake za 18 btu na 24 pia ni tofauti hata bodi pia ni tofauti yaani ni Bora uchukue mpya, then angalia ukubwa wa chumba chako Ili upate AC sahihi ita fundi funga ule upepo, jua Kali sana Sasa hivi.
Chumba cha 6 x 5 hapa ac size gani yanifaa?
 
Chumba cha 6 x 5 hapa ac size gani yanifaa?
6x5 ni futi au?. Kama ni futi basi 1_1.5 ton inakutosha kabisa Yani 12000_18000 bthu. Kama 6x5 ni mita basi 2_2.5ton inafaa yaani 24000 _30000bthu. Yote hayo yanategemea na jinsi chumba kilivyokaa, vyumba vingine viko uelekeo wa jua hasa mchana, hivyo joto linakuwa ni Kali sana kuliko kawaida hivyo unaongeza kidogo, au unakuta vijumba vimebanana kama ndizi hapo unaongeza kidogo.
 
6x5 ni futi au?. Kama ni futi basi 1_1.5 ton inakutosha kabisa Yani 12000_18000 bthu. Kama 6x5 ni mita basi 2 ton inafaa yaani 24000 bthu. Yote hayo yanategemea na jinsi chumba kilivyokaa, vyumba vingine viko uelekeo wa jua hasa mchana, hivyo joto linakuwa ni Kali sana kuliko kawaida hivyo unaongeza kidogo, au unakuta vijumba vimebanana kama ndizi hapo unaongeza kidogo.
Ndo maana ni ngumu kumpa mtu jibu la moja kwa moja mtu akitembelea (kufanyia survey) ndo anaweza mpa mtu jibu sahii

Kuna watu wengi tu hawajua vyumba vyao/nyumba vina ukubwa gani
 
6x5 ni futi au?. Kama ni futi basi 1_1.5 ton inakutosha kabisa Yani 12000_18000 bthu. Kama 6x5 ni mita basi 2_2.5ton inafaa yaani 24000 _30000bthu. Yote hayo yanategemea na jinsi chumba kilivyokaa, vyumba vingine viko uelekeo wa jua hasa mchana, hivyo joto linakuwa ni Kali sana kuliko kawaida hivyo unaongeza kidogo, au unakuta vijumba vimebanana kama ndizi hapo unaongeza kidogo.
Hapa nimekupata mwanawane
 
Ac za samsung zipo
A09B298B-50F4-40A0-879E-CB70E9FDFF0D.jpeg
 
Back
Top Bottom