House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Nimesoma mpaka nikacheka, Katoto Kazuri acha kukasirika. Fahamu hivi, anayekuudhi mara nyingi huwa hapati maumivu kama anayeumizwa. Mbona unautesa moyo wako wakati hata wanakuzungumza hujawahi kuwaona hata wewe huwafaham kwa sura zao?
Mpaka nimekuonea huruma ulivofura, wewe kula raha, ila zile kwa ustaarabu huku ukitafuta neema na rehema kwa Mungu. Tafuta kiasi chako kinachokutosha na uwe na space inayokutosha, ya humu yapuuze tu dada
Naomba unicheke tenaNimesoma mpaka nikacheka, Katoto Kazuri acha kukasirika. Fahamu hivi, anayekuudhi mara nyingi huwa hapati maumivu kama anayeumizwa. Mbona unautesa moyo wako wakati hata wanakuzungumza hujawahi kuwaona hata wewe huwafaham kwa sura zao?
Mpaka nimekuonea huruma ulivofura, wewe kula raha, ila zile kwa ustaarabu huku ukitafuta neema na rehema kwa Mungu. Tafta kiasi chaki na uwe na space inayokutosha, ya humu yapuuze tu dada
Eti ehAcha nao katoto karembo live your life usiishi watakavyo wao
Subiri shambulio mkuuWale wanaodai nature haiwaruhusu kuwa na mtu mmoja watakuja kukukashfu hapa. Nimekuelewa sana mkuu.
[emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]Mtoa uzi Kwanza marinda unayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Niwowe hebuMke si ndio wewe sasa.
MmhNiwowe hebu
Jino linauma dada
SawaNiwowe hebu
AbeeSawa
Umeitika vizuri, nitakuwowa.Abee
BarikiwaUmeitika vizuri, nitakuwowa.
Shindwa walijaribu wengi hadi akina raha leo wakashindwa