Sisi sote ni wachina, Rais mstaafu wa Taiwan asema

Sisi sote ni wachina, Rais mstaafu wa Taiwan asema

Mmarekani akisikia hivi lazima anune,,, kama alivyonuna pale mashariki ya kati wakati saudi Arabia na Iran wamesaini peace wakati huo huo saudi Arabia na Yemen amani imetawala,,, lkn mmarekani kwa roho yake mbaya kipindi wenzio wanataka amani yeye kapeleka manowari ya kijeshi pale mashariki ya kati sasa sijui anamtisha nani,,,
Iran ilisaidia kundi la Washia la Houthi kumuondoa Rais wa Yemen. Saudi Arabia ikampa hifadhi, ikaendelea kumtambua na kumsaidia ufalme wao haukutaka kuwa jirani na utawala wa Kishia ikaanza kuishambulia Yemen na kuweka naval blockade kwenye bandari kuzuia silaha za Iran kwenda. Marekani inahusikaje hapo?

Manowari ya kijeshi haijaanza kwenda mwaka huu na haitoacha. Mediterranean na Red Sea pale Marekani ina presence majini tangu karne ya 19 wewe ndio umeona sasa
 
Iran ilisaidia kundi la Washia la Houthi kumuondoa Rais wa Yemen. Saudi Arabia ikampa hifadhi, ikaendelea kumtambua na kumsaidia ufalme wao haukutaka kuwa jirani na utawala wa Kishia ikaanza kuishambulia Yemen na kuweka naval blockade kwenye bandari kuzuia silaha za Iran kwenda. Marekani inahusikaje hapo?

Manowari ya kijeshi haijaanza kwenda mwaka huu na haitoacha. Mediterranean na Red Sea pale Marekani ina presence majini tangu karne ya 19 wewe ndio umeona sasa
I appreciate you,you have a big knowledge or you take trouble kujifunza kuhusu geopolitics
 
uhitaji wa Taiwan kuunganishwa na mainland China unapaswa kuamuliwa na waTaiwanese wenyewe.

Kura za maoni hazioneshi kama sehemu kubwa ya waTaiwanesse wanahitaji kuunganishwa na mainland China.

Mgogoro huu utawapa wachina hali mbaya sana siku za mbeleni. Ulimwengu utaungana na waTaiwan kupinga uvamizi wa waChina
 
Kama wote ni Wachina kwa nini CCP haiko Taiwan? Kwa nini Taiwan kuna mfumo wa vyama vingi ila huko kwingine CCP ndio inatawala?
Ni sawa na Kusema Korea Kusini na Korea Kaskazini wote ni Wakorea tu.
Kwan hujui kama wote niwakorea nawanaongea lugha moja tofauti ni itikadi tu
 
Kabla ya mao Zedong China ilikuwa moja, sema mao alibugi kutoikomboa nchi nzima mpaka visiwani.
Maana aliokuwa anapingana nao na kupigana vita walikimbilia visiwani na kuendeleza utawala huko.
Yeye akaamua kuachana nao, sasa kuiunganisha tena kuwa China moja ni ngumu Sana.
Chukulia Tanganyika kipindi hicho miaka ya 1962 huko, mapinduzi yangetokea na nchi ikapinduliwa nà wale waliopinduliwa wakakimbilia mafia kisiwani na kujidhatiti huko na wakaachwa na kuanzisha utawala huko.
Miaka ikapita mingi kuja kuiunganisha tena inakuwa ngumu.
 
uhitaji wa Taiwan kuunganishwa na mainland China unapaswa kuamuliwa na waTaiwanese wenyewe.

Kura za maoni hazioneshi kama sehemu kubwa ya waTaiwanesse wanahitaji kuunganishwa na mainland China.

Mgogoro huu utawapa wachina hali mbaya sana siku za mbeleni. Ulimwengu utaungana na waTaiwan kupinga uvamizi wa waChina
Huo ulimwengu unaousema umeshindwa kumsapoti Taiwan walau kwa kubadilishana mabaloz sasa sidhan km midege ya kichina ikianza kushambulia km kuna atakayesogea
 
Unachanganya mifumo ya siasa na raia wa pale Taiwan na bara asili yao ni nini ? alichosema Ma kuwa wote bara na kisiwani ni raia wa kichina na wala sio mifumo ya siasa.
Kwa nini yeye akiwa rais hakuirudisha Taiwan mikoni mwa China ili kwenda sawa na matakwa china kwamba Taiwan ni sehemu ya china na ipo siku itarudi mikononi mwa China?!
 
Kwa nini yeye akiwa rais hakuirudisha Taiwan mikoni mwa China ili kwenda sawa na matakwa china kwamba Taiwan ni sehemu ya china na ipo siku itarudi mikononi mwa China?!
Taiwan ilirudi China toka katika utawala wa Japan since 1945
 
Huo ulimwengu unaousema umeshindwa kumsapoti Taiwan walau kwa kubadilishana mabaloz sasa sidhan km midege ya kichina ikianza kushambulia km kuna atakayesogea
Sehemu kubwa ya nchi nyingi Duniani unaitambua Taiwan kama Taifa huru. Kwenye mikutano ya UN 13 Countries plus Vatican recognise Taiwan kama taifa huru.

Main land China wanatumia influence kuondoa utambuzi wa hizo nchi kwa kutumia fedha, projects na mikopo kwa hizo nchi. Hivi majuzi Honduras imebadilisha mwelekeo wake wa kuitambua Taiwan kama taifa huru ukiangalia kwa undani utakuta Ukaribu wake na main land China ni kutokana na influence ya China kuwajengea projects za kimkakati kama hydro electric power n.k

But still bado Taiwan inawatambuzi wa kutosha kushinda kwenye vikao vya UN na huu mgogoro utaamsha hisia nyingi za nchi nyingi kuitambua Taiwan kama taifa huru
 
Rais wa sasa wa Taiwan hawezi kwenda China na kusema yeye ni Mchina na Taiwan na China ni wamoja, huyo kiongozi mstaafu nasema yeye anatumiliwa asemea huko huko pemben pemben tu
Wakutumiwa anatumiwa aliyeko madaraki maana yeye ndiye mwenye karamu! Kwani uongo kuwa Taiwan sio Wachina?
 
"Sisi sote ni wachina" hayo yalikuwa maneno ya aliyekuwa Rais wa Taiwan Ma Jing-jeou aliyo zungumza wakati wa ziara yake China bara.

Rais huyo alisisitiza kwamba,
"People on both sides of the Taiwan Strait are Chinese people, and are both descendants of the Yan and Yellow Emperors," Ma said, in comments provided by his office.

Ma anatumai ujenzi wa amani utafanyiwa kazi na pande zote mbili,
"We sincerely hope that the two sides will work together to pursue peace, avoid war, and strive to revitalise China,"

Ma alisisitiza kuwa hili ni jukumu la wachina wote,
"This is an unavoidable responsibility of Chinese people on both sides of the Strait, and we must work hard."
View attachment 2581959View attachment 2581960
Mnafiki tu huyo,kwa nini kipindi alivyokuwa Raisi asingepambana Taiwani iwe jimbo au mkoa rasmi wa China?
 
Mnafiki tu huyo,kwa nini kipindi alivyokuwa Raisi asingepambana Taiwani iwe jimbo au mkoa rasmi wa China?
Taiwan ni sehemu ya China toka 1945. Ulitaka apambanie nini zaidi ya kuhimiza amani baina yao kama ambavyo alivyo fanya
 
Taiwan ni sehemu ya China toka 1945. Ulitaka apambanie nini zaidi ya kuhimiza amani baina yao kama ambavyo alivyo fanya
Taiwan ni sehemu ya China toka 1945. Ulitaka apambanie nini zaidi ya kuhimiza amani baina yao kama ambavyo alivyo fanya
Taiwan ni sehemu ya China toka 1945. Ulitaka apambanie nini zaidi ya kuhimiza amani baina yao kama ambavyo alivyo fanya
We unavyoona kwa sasa Taiwani kiuhalisia ipo china?
 
Back
Top Bottom