Sisi sote ni wachina, Rais mstaafu wa Taiwan asema

Sisi sote ni wachina, Rais mstaafu wa Taiwan asema

Huyo former president kuondoa unafiki ilibidi aseme haitambui taiwan. Kwa nini hakuirudisha taiwan yeye akiwa rais? Nadhani mwenye haki ya kusema hivyo ni wataiwan wenyewe.
 
Huyo former president kuondoa unafiki ilibidi aseme haitambui taiwan. Kwa nini hakuirudisha taiwan yeye akiwa rais? Nadhani mwenye haki ya kusema hivyo ni wataiwan wenyewe.
Taiwan ni sehemu ya China toka muda sana hivyo ndivyo ilivyo
 
"Sisi sote ni wachina" hayo yalikuwa maneno ya aliyekuwa Rais wa Taiwan Ma Jing-jeou aliyo zungumza wakati wa ziara yake China bara.

Rais huyo alisisitiza kwamba,
"People on both sides of the Taiwan Strait are Chinese people, and are both descendants of the Yan and Yellow Emperors," Ma said, in comments provided by his office.

Ma anatumai ujenzi wa amani utafanyiwa kazi na pande zote mbili,
"We sincerely hope that the two sides will work together to pursue peace, avoid war, and strive to revitalise China,"

Ma alisisitiza kuwa hili ni jukumu la wachina wote,
"This is an unavoidable responsibility of Chinese people on both sides of the Strait, and we must work hard."
View attachment 2581959View attachment 2581960


Mbona alipokuwa raisi hakutamka maneno hayo??!, leo kashikwa na nini??
 
CHINA: Country says its military followed and monitored the movements of the US destroyer that passed through the South China Sea and near the Spratly Islands
 
Kama wote ni Wachina kwa nini CCP haiko Taiwan? Kwa nini Taiwan kuna mfumo wa vyama vingi ila huko kwingine CCP ndio inatawala?
Ni sawa na Kusema Korea Kusini na Korea Kaskazini wote ni Wakorea tu.
Sasa ndii rais msaafu kasema! unabishana nae?
 
Hao Iran na Saudi Arabia, wako kwenye power struggle ya Shia na Sunni siku zote. Kumaliza uhasama kati yao labda kila mmoja aache kufadhili makundi ya upande wake kati ya nchi zao na nchi nyingine.
Taratibu tu Mkuu watafika huko!
 
Mbona alipokuwa raisi hakutamka maneno hayo??!, leo kashikwa na nini??
Siku zote wanatambulika kama wachina anacho himiza ni amani baina yao wachina
 
uhitaji wa Taiwan kuunganishwa na mainland China unapaswa kuamuliwa na waTaiwanese wenyewe.

Kura za maoni hazioneshi kama sehemu kubwa ya waTaiwanesse wanahitaji kuunganishwa na mainland China.

Mgogoro huu utawapa wachina hali mbaya sana siku za mbeleni. Ulimwengu utaungana na waTaiwan kupinga uvamizi wa waChina

Hizo kura za maoni zilipigwa lini?
 
Mmarekani akisikia hivi lazima anune,,, kama alivyonuna pale mashariki ya kati wakati saudi Arabia na Iran wamesaini peace wakati huo huo saudi Arabia na Yemen amani imetawala,,, lkn mmarekani kwa roho yake mbaya kipindi wenzio wanataka amani yeye kapeleka manowari ya kijeshi pale mashariki ya kati sasa sijui anamtisha nani,,,
Watu waliachana na corona kama hivi baada ya kuuona ukweli. wa mwisho ni wachina.Wakati wa kombe la dunia wenzao wanashangilia Qattar wao ndio kwanza wanafungiwa ndani.Wakasema basi na ikawa.
 
Sehemu kubwa ya nchi nyingi Duniani unaitambua Taiwan kama Taifa huru. Kwenye mikutano ya UN 13 Countries plus Vatican recognise Taiwan kama taifa huru.

Main land China wanatumia influence kuondoa utambuzi wa hizo nchi kwa kutumia fedha, projects na mikopo kwa hizo nchi. Hivi majuzi Honduras imebadilisha mwelekeo wake wa kuitambua Taiwan kama taifa huru ukiangalia kwa undani utakuta Ukaribu wake na main land China ni kutokana na influence ya China kuwajengea projects za kimkakati kama hydro electric power n.k

But still bado Taiwan inawatambuzi wa kutosha kushinda kwenye vikao vya UN na huu mgogoro utaamsha hisia nyingi za nchi nyingi kuitambua Taiwan kama taifa huru
Kaka haijalishi UN aitambue au Nchi zingine iitambue kuwa Taiwan ni Nchi,siku China bara akitaka kuichukua ataichukua tu hata na huyo USA ukiangalia.

Sio kwamba USA anawapenda sana wataiwani bali anawatumia kama mtego wa kuiangusha China kiuchumi,situation ya China na Taiwan haina tofauti na ule wa Ukraine na Russia.But at the end China atazichanga karata zake na Taiwan itachukuliwa tu kwa njia yoyote maana China hawezi kuruhusu Taiwan kubwa kama fimbo dhidi yake.
 
Sehemu kubwa ya nchi nyingi Duniani unaitambua Taiwan kama Taifa huru. Kwenye mikutano ya UN 13 Countries plus Vatican recognise Taiwan kama taifa huru.

Main land China wanatumia influence kuondoa utambuzi wa hizo nchi kwa kutumia fedha, projects na mikopo kwa hizo nchi. Hivi majuzi Honduras imebadilisha mwelekeo wake wa kuitambua Taiwan kama taifa huru ukiangalia kwa undani utakuta Ukaribu wake na main land China ni kutokana na influence ya China kuwajengea projects za kimkakati kama hydro electric power n.k

But still bado Taiwan inawatambuzi wa kutosha kushinda kwenye vikao vya UN na huu mgogoro utaamsha hisia nyingi za nchi nyingi kuitambua Taiwan kama taifa huru
Mbona unajichanganya mjomba,UN haitambui Taiwan kama Taifa.
 
Mmarekani akisikia hivi lazima anune,,, kama alivyonuna pale mashariki ya kati wakati saudi Arabia na Iran wamesaini peace wakati huo huo saudi Arabia na Yemen amani imetawala,,, lkn mmarekani kwa roho yake mbaya kipindi wenzio wanataka amani yeye kapeleka manowari ya kijeshi pale mashariki ya kati sasa sijui anamtisha nani,,,
Waarabu hawatakuja kupatana hilo sahau.
 
Back
Top Bottom