Sisi sote ni wachina, Rais mstaafu wa Taiwan asema

Siku zote wanatambulika kama wachina anacho himiza ni amani baina yao wachina
Kuwa sehem ya china na kuwa wachina ni vitu viwili tofauti , Elewa mkuu
 
nyiny watu huwa ni wapumbav sana yaan mnawafanyaga USA kama miungu watu kwamba wakiamua yeyote anagombana tu , kwann wasiwagombanishe China na Russia ? migogoro ming mnakuwa nayo wenyew halaf lawama mnampa USA
 
na Quran inayowafundisha chuki kaandika marekan?
 
Kama yapi ?
wewe ni zezeta sana kuna maswali umeulizwa huko juu unayakimbia , hv China inakutambua ? weka facts kwa faida ya kizaz chetu na cha baadae ila wewe una uzuz wa mahaba
 
na Quran inayowafundisha chuki kaandika marekan?
Anzisha uzi wako tujadili hilo,,,, yani umeonyesha unavyoichukia quran pamoja na wanayoifuata!! Ila hapa si mahali pake japo umeonyesha hisia zako,, hapa ni China na Taiwan,,,
 
Unafahamu kuhusu hivi vitu ROC,PRC,MSAR,HKSAR ?
Umetaka upewe sehemu ya matamshi na umepewa, baada ya kupewa unaongeza maswali yasiyo na msingi.
 
Umetaka upewe sehemu ya matamshi na umepewa, baada ya kupewa unaongeza maswali yasiyo na msingi.
Ukifahamu hivyo vitu vina epusha kuuliza maswali ya namna hiyo
 
Wimbo,Bendera,Rais,katiba ... Zanzibar inavyo vyote je ni nchi huru!!?? Nimekaa paleee nasubiri jibu NDIO au HAPANA...
 
Wimbo,Bendera,Rais,katiba ... Zanzibar inavyo vyote je ni nchi huru!!?? Nimekaa paleee nasubiri jibu NDIO au HAPANA...
Ndiyo ni nchi huru iliyoungana na Tanganyika kuunda Tanzania...au wewe unadhani Zanzibar ni nini?
 
Ndiyo ni nchi huru iliyoungana na Tanganyika kuunda Tanzania...au wewe unadhani Zanzibar ni nini?
Unajichanganya dogo... Ina kiti UN !!?? Scotland ,Wales Wana kiti UN !!?
 
Taiwan sio nchi mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…