Sisi tuliiga wapi kuwa na vyeo vyote viwili vya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais?

Sisi tuliiga wapi kuwa na vyeo vyote viwili vya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani - Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa - Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini - Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya - Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia - Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana - Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal - Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana - Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil - Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini - Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,

na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
 
Kwa Tanzania waziri mkuu ni kama rais kivuli wa Tanganyika. Hii ni siri tunayoijua watu wachache wakiwemo wakina mafwele.
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Tuliiga China...yenye Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu.
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Kwani hatuwezi kubuni na watu wakaja kuiga hapa kwetu?
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Naona anapima na kuchagua pick and choose. Kwa nini ufikiri sisi ni WA kuoga tu, kwa nini tusiigwe? Uingereza hawana Rais. Afrika ya Kusini wana Wizara ya Kuchagua Ushoga ("Freedom to choose sexual orientation", imo kwenye Katiba). Ujerumani hawana Rais, na Dubai na Saudia. Utaiga wangapi? Naomba ututafutie ni Nchi ngapi wameiga Tanzania? Umetaja Kenya, umesahau Raila alitengenezewa cheo cha Prime Minister ili kubalsnce makabila, alipopewa Uvice Pres it dent na Mwai Kibali cheo kikafutwa. Usituambie ya kuigaiga.
 
Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,

na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
Je, Una uhakika kwamba hauugui kichaa?
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Sisi tupo na upekee ambao ni nadra sana kwa nchi nyingine

Mambo kama Mwenge wa Uhuru,

Marais wawili ndani ya nchi moja,

Halafu cha kushangaza Waziri Mkuu hatambuliki kikatiba huko Zenji
 
Back
Top Bottom