Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama Naibu Waziri Mkuu?Kwani hatuwezi kubuni na watu wakaja kuiga hapa kwetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Naibu Waziri Mkuu?Kwani hatuwezi kubuni na watu wakaja kuiga hapa kwetu?
hamna broo ndivyo nilivyo kwan kuna faida yoyote hata nikipanik bas tu acha tupunguze jazba za wake zetuDuh!!! umepaniki brother
Ma DC ndio mzigo mkubwa kwa Taifa.Vipo vyeo inatakiwa kufutwa
1 Makamu wa rais
2 Mkuu wa wilaya, huyu majuku yake atafanya mkurugenzi w
3 naibu waziri huyu kazi zake atafanya katibu wa wizara
Spika wa BungeMudavadi ni nani Hapo Kenya? 🐼
BumundaInfact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,
na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
gimbi vipi tena?🐒Bumunda
Uliwahi pita pita kwenye yale majengo yanayoitwa madarasa au umeishia madrasatul/sunday school!!!???But vijana Kila siku wanalilia Ajira,Sasa ukifuta vyeo vya ukuu wa wilaya automatically takribani watu 1000 wanaKosea Ajira
The mental disorder you are going through involves impairments in reality testing and logical reasoning, often seen in psychotic disorders. One common example is schizophrenia. In schizophrenia, a person may experience delusions (false beliefs) and hallucinations, and their ability to analyze things rationally can be impaired. They may struggle to differentiate between what is real and what is not, which can affect their ability to form logical arguments.gimbi vipi tena?🐒
Nahisi cheo hakipo katiba yao, na pia ni waziri ya mambo ya nje?Mudavadi ni nani Hapo Kenya? 🐼
Hayo ndiyo madude dude ya kutofungamana na upande wowote.Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Na pdiddyInfact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,
na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
Hii nayo!The mental disorder you are going through involves impairments in reality testing and logical reasoning, often seen in psychotic disorders. One common example is schizophrenia. In schizophrenia, a person may experience delusions (false beliefs) and hallucinations, and their ability to analyze things rationally can be impaired. They may struggle to differentiate between what is real and what is not, which can affect their ability to form logical arguments.
Another possibility is delusional disorder, where the person has strong beliefs in things that are not real, despite evidence to the contrary, affecting their reasoning process.
Cognitive impairments or thought disorders, often associated with psychosis, are typically marked by disorganized thinking, making it hard for the person to reason in a logical and coherent manner.
Ni kweli kabisa una point; cheo cha waziri mkuu kifutwe tu na majukumu yake yachukuliwe na makamu wa rais kwa sababu sasa hivi makamu wa rais ni ceremonial post tu ya kumwakilisha rais kwenye misiba. Hakuna majukumu maalum ya Makamu wa RaisKwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Sometimes uwepo wa waziri mkuu..unamficha Makamu wa Rais, haonekani kama ni mtu mhimu sana..hasa ikiwa rais wake hampi nafasi za kumfanya aoenekaneKwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
🤣🤣🤣 yanatoka moyoni kweli Hayo?Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,
na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
🤣🤣🤣 mafwele sasaKwa Tanzania waziri mkuu ni kama rais kivuli wa Tanganyika. Hii ni siri tunayoijua watu wachache wakiwemo wakina mafwele.