Sisi tuliiga wapi kuwa na vyeo vyote viwili vya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais?

Sisi tuliiga wapi kuwa na vyeo vyote viwili vya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais?

Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Rwanda size ya Mkoa wa Tabora wana RAIS na WAZIRI MKUU... Zanzibar size ya wilaya ya Kigamboni wana RAIS, Makamu wawili na Baraza la Mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, vikosi vya JKU, KMKM na Mambo chungu mbovu
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Muungano ndo ulieleta Hilo Cha waziri mkuu ni mtu wa kuaangushiwa jumba bovu na Rais
 
Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,

na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
😳🤣🤣
 
The mental disorder you are going through involves impairments in reality testing and logical reasoning, often seen in psychotic disorders. One common example is schizophrenia. In schizophrenia, a person may experience delusions (false beliefs) and hallucinations, and their ability to analyze things rationally can be impaired. They may struggle to differentiate between what is real and what is not, which can affect their ability to form logical arguments.
Another possibility is delusional disorder, where the person has strong beliefs in things that are not real, despite evidence to the contrary, affecting their reasoning process.
Cognitive impairments or thought disorders, often associated with psychosis, are typically marked by disorganized thinking, making it hard for the person to reason in a logical and coherent manner.
🙋‍♂️🤝
 
Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,

na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
Vitu vingine jaribuni kuwa kimia , mnatia aibu kuu, wanaoga Tanzania ila mnatembeza bakuli la omba omba kwao
 
katiba yetu imejaa unyerere ifatilie, inawezekana alifikiria kuhusu gharama za uchaguzi ikitokea rais amefariki

Lakini ,je marekani na nchi nyingine zenye makamu ,RAIS akifariki makamu anasogezwa kukava nafasi?
 
Kenya ina Mkuu wa Mawaziri, Musalia Mudavadi ambaye kimsingi ni Waziri Mkuu.
Kwenye katiba ya Kenya hakuna cheo cha mkuu wa mawiziri au waziri mkuu, Mudavadi ni waziri tu kama mawaziri wengine.
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Nchi nyingi ikiwemo Tanganyika Waziri Mkuu ni au alikuwa kiongozi wa nchi, ndiyo nafasi aliyoianzia Nyerere baada ya Uhuru. Tanzania tuna chifu ambaye ni rais, ambaye ni mkuu wa majeshi na ambaye ni mwenyekiti taifa CCM.
 
Naona anapima na kuchagua pick and choose. Kwa nini ufikiri sisi ni WA kuoga tu, kwa nini tusiigwe? Uingereza hawana Rais. Afrika ya Kusini wana Wizara ya Kuchagua Ushoga ("Freedom to choose sexual orientation", imo kwenye Katiba). Ujerumani hawana Rais, na Dubai na Saudia. Utaiga wangapi? Naomba ututafutie ni Nchi ngapi wameiga Tanzania? Umetaja Kenya, umesahau Raila alitengenezewa cheo cha Prime Minister ili kubalsnce makabila, alipopewa Uvice Pres it dent na Mwai Kibali cheo kikafutwa. Usituambie ya kuigaiga.
Aisee
 
Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,

na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
Wakati tunapata Uhuru uingereza ina Waziri Mkuu mpaka sasa ni hivyo, na sisi tukawa na Waziri Mkuu akiwa kiongozi wa nchi.
 
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais

6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.

7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu

8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais

10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Wazungu hawataki gharama za kijinga, hata misafara ni Tanzania pekee ndiyo imejaa misafara muda wote
 
Vipo vyeo inatakiwa kufutwa
1 Makamu wa rais
2 Mkuu wa wilaya, huyu majuku yake atafanya mkurugenzi w
3 naibu waziri huyu kazi zake atafanya katibu wa wizara
Makamu/Naibu PM/RC/DA/TARURA inatakiwa iwe idaara ndani ya TANROAD, RUWASA inatakiwa iwe idara ndani ya mamlaka za maji
 
Back
Top Bottom