Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Vyeo vya kisiasa bongo ni vingi sana, ni kuteuana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli, Mudavadi ni Mkuu wa Mawaziri japo katiba haimtambui ila Ruto ndiye kamwajiri.Waziri asiye na wizara kama George Mkuchika.
Kwani lazima kuiga? Ni uvumbuzi Wetu tena yupo Hadi Naibu Waziri MkuuKwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Ajira zitaongezeka kama serikali itatumia pesa vizuri hasa kwa walio juu. Rais halipi kodi, anahudumiwa kila kitu, posho na mshahara anapata, makamu wa rais vivyo hivyo, waziri mkuu hivyo hivyo, marais wastaafu za Tanganyika na Zanzibar hivyo hivyo, kuna wabunge, majaji na spika na naibu wake wote hawalipi kodi na wanahudumiwa na serikali. Ni pesa nyingi mno ambazo zingetosha kuajiri maelfu ya vijana.But vijana Kila siku wanalilia Ajira,Sasa ukifuta vyeo vya ukuu wa wilaya automatically takribani watu 1000 wanaKosea Ajira
Nchi hii inaongoza duniani kuwa na lundo la mavyeo yasiyo na tija. Kwa mfano kuanzia ngazi ya chini ya kata kuna katibu kata na katibu kata mtendaji, wilayani kuna mkuu wa wilaya, kuna DAS na mkurugenzi mtendaji wa wilaya, mkoani kuna mkuu wa mkoa na RAS. Taifani kuna Rais, makamu wa rais, waziri mkuu na sasa naibu waziri mkuu ambaye hata kwenye scheme of service hayupo. Sasa ukiangalia utitiri wote huo wa viongozi hakuna tija yoyote ya maana. Kama taifa tujitafakari. Pesa nyingi inatumika kiholela.Vipo vyeo inatakiwa kufutwa
1 Makamu wa rais
2 Mkuu wa wilaya, huyu majuku yake atafanya mkurugenzi w
3 naibu waziri huyu kazi zake atafanya katibu wa wizara
Maza atakavyoamka siku hiyo na cheo kinapatikanaVyeo vya kisiasa bongo ni vingi sana, ni kuteuana tu.
Ni gharama kubwa kwa walipa kodi na misafara isiyo na maanaNchi hii inaongoza duniani kuwa na lundo la mavyeo yasiyo na tija. Kwa mfano kuanzia ngazi ya chini ya kata kuna katibu kata na katibu kata mtendaji, wilayani kuna mkuu wa wilaya, kuna DAS na mkurugenzi mtendaji wa wilaya, mkoani kuna mkuu wa mkoa na RAS. Taifani kuna Rais, makamu wa rais, waziri mkuu na sasa naibu waziri mkuu ambaye hata kwenye scheme of service hayupo. Sasa ukiangalia utitiri wote huo wa viongozi hakuna tija yoyote ya maana. Kama taifa tujitafakari. Pesa nyingi inatumika kiholela.
Una waambia watu walipe kodi huku wewe mshahara wako haukatwi kodi, sijui ni kuona watu ni wajingaAjira zitaongezeka kama serikali itatumia pesa vizuri hasa kwa walio juu. Rais halipi kodi, anahudumiwa kila kitu, posho na mshahara anapata, makamu wa rais vivyo hivyo, waziri mkuu hivyo hivyo, marais wastaafu za Tanganyika na Zanzibar hivyo hivyo, kuna wabunge, majaji na spika na naibu wake wote hawalipi kodi na wanahudumiwa na serikali. Ni pesa nyingi mno ambazo zingetosha kuajiri maelfu ya vijana.
Hakuna umuhimu wowote, Majaliwa anasaidia nini zaidi ya kutuongezea gharama kubwa za matumizi na asipokuwepo nini kitakosekana?Siyo kweli, Mudavadi ni Mkuu wa Mawaziri japo katiba haimtambui ila Ruto ndiye kamwajiri.
Hii inaonyesha kwamba cheo cha Waziri Mkuu haswa kwa Afrika, bado kina umuhimu.
Matatizo yote haya yalisababishwa na Nyerere kutuachia katiba mbovu na ya hovyoWakati tunapata Uhuru uingereza ina Waziri Mkuu mpaka sasa ni hivyo, na sisi tukawa na Waziri Mkuu akiwa kiongozi wa nchi.
Na mshahara na posho haununui hata kitunguu kimoja. Kila kitu bure na hapo hapo inasemwa wanaolipa kodi ni wachache kumbe ni watumiaji wachache ndio wanaoneemeka na kodi hizo.Una waambia watu walipe kodi huku wewe mshahara wako haukatwi kodi, sijui ni kuona watu ni wajinga
Hakuna umuhimu wowote, Majaliwa anasaidia nini zaidi ya kutuongezea gharama kubwa za matumizi na asipokuwepo nini kitakosekana?
Just kuwaridhisha wa upande wa pili kwa cheo cha juu ! ThenKwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
makada wetu wengi wanaokipigania Chama chetu itakuwaje ??! 😳!Hiyo pesa yao tutaajiri madaktari 2,000 na walimu 1,000.
Msimamizi wa mawaziri ni Rais, yeye ndiye anawachagua, anawapangia kazi na anayefukuza kazi. Hata waziri akitika kujiuzulu anapeleka barua moja kwa moja kwa Rais na sio kwa waziri mkuu.Mawaziri hawatasimamiwa.
Kama kuna Katibu Mkuu Kiongozi, na Makatibu Wakuu, hivyo hivyo uwepo wa Waziri Mkuu na Mawaziri inasadifu kiutawala.