ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kumbe uliandika mada ya nini?Hamjavumbua chochote, Korea Kaskazini na China walikuwa na huo mfumo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe uliandika mada ya nini?Hamjavumbua chochote, Korea Kaskazini na China walikuwa na huo mfumo
Mudavadi ni waziri wa maswala ya kigeni, cheo cha waziri kiongozi ni cha mchongo hakipo kikatiba ni sawa na cheo cha Biteko Naibu waziri mkuu.Mudavadi ni nani Hapo Kenya? 🐼
Tuliza makasiriko basi acha ushirikina gentleman 🐒Hii kauli ukimwambia chura Kiziwi basi atashusha tabasamu Moja matata kuashiria akili zake zimeoza kabisa
si ungejibu wewe sasa mbona unaonyesha mihemko tu sasa 🐒Vitu vingine jaribuni kuwa kimia , mnatia aibu kuu, wanaoga Tanzania ila mnatembeza bakuli la omba omba kwao
wanalazimisha mambo, wanatamani kuiga Tanzania kwasababu ya umuhimu wa nafasi yeyewe tunapoelekea lazima watairasimisha kikatiba 🐒Kwenye katiba ya Kenya hakuna cheo cha mkuu wa mawiziri au waziri mkuu, Mudavadi ni waziri tu kama mawaziri wengine.
Cheki kenya wanavyolazimisha kua na waziri Mkuu kwa kuiga Tanzania. Who is prime cabinet minister?🤣🤣🤣 yanatoka moyoni kweli Hayo?
Kitu Gani Hapa Tanzania hatujaigawanalazimisha mambo, wanatamani kuiga Tanzania kwasababu ya umuhimu wa nafasi yeyewe tunapoelekea lazima watairasimisha kikatiba 🐒
Duuuh, Tanzania tunazo Wilaya 1000?But vijana Kila siku wanalilia Ajira,Sasa ukifuta vyeo vya ukuu wa wilaya automatically takribani watu 1000 wanaKosea Aji
Kwani Prime minister ni cheo kilichobiniwa TANZANIACheki kenya wanavyolazimisha kua na waziri Mkuu kwa kuiga Tanzania. Who is prime cabinet minister?
walikuapo na makatibu wakuu 42 mahakama ikakataa nayo bilashaka tuendako wataiga vyote kama ilivyo Tanzania. Zaidi sana cheki DRC na sudani zote mbili lazima waige utaratibu wa uongozi Tanzania ili kujihakikishia Amani 🐒
Halafu cheo cha makamu wa rais walipewa wanzanzibar Kama zawadi tu.Kwa Tanzania waziri mkuu ni kama rais kivuli wa Tanganyika. Hii ni siri tunayoijua watu wachache wakiwemo wakina mafwele.
Napendekeza na Naibu Makamu wa Raisi 😛Yaani makamu wa Rais,waziri mkuu na naibu waziri mkuu. Duuuh
hatujaiga popote kua na Jimbo la uchaguzi Paramiho, huko songea gentleman..Kitu Gani Hapa Tanzania hatujaiga
Ndiyo, kilibuniwa Tanzania,Kwani Prime minister ni cheo kilichobiniwa TANZANIA
Wewe chawa naona umegaragara kwenye mavumbi Sasa unaanza kuropoka tuhatujaiga popote kua na Jimbo la uchaguzi Paramiho, huko songea gentleman..
au unataka kupotosha wadau kwamba Tume Huru ya Uchaguzi iliiga ugerumani?🐒
Usijivue nguo tenaNdiyo, kilibuniwa Tanzania,
ndiyo maana hakina ufanano wowote na eneo lingine lolote duniani gentleman 🐒
hakuna haja kuhamisha magoli kwa makasiriko na mihemko gentleman...Wewe chawa naona umegaragara kwenye mavumbi Sasa unaanza kuropoka tu
Yaani majimbo ya uchaguzi yalibuniwa TANZANIA
kaa utulie gentleman, huna tena mawazo mapya wala fikra mbadala. Nashukuru utakua umeelewa wewe pamoja na wenzako,Sawa?🐒Usijivue nguo tena