Infact,Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Tuliiga China...yenye Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu.Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Kwani hatuwezi kubuni na watu wakaja kuiga hapa kwetu?Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Naona anapima na kuchagua pick and choose. Kwa nini ufikiri sisi ni WA kuoga tu, kwa nini tusiigwe? Uingereza hawana Rais. Afrika ya Kusini wana Wizara ya Kuchagua Ushoga ("Freedom to choose sexual orientation", imo kwenye Katiba). Ujerumani hawana Rais, na Dubai na Saudia. Utaiga wangapi? Naomba ututafutie ni Nchi ngapi wameiga Tanzania? Umetaja Kenya, umesahau Raila alitengenezewa cheo cha Prime Minister ili kubalsnce makabila, alipopewa Uvice Pres it dent na Mwai Kibali cheo kikafutwa. Usituambie ya kuigaiga.Kwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu
Je, Una uhakika kwamba hauugui kichaa?Infact,
Mataifa mengi ulimwenguni yameiga mambo mengi mazuri ya uongozi kutoka Tanzania ,
na Tanzania haina haja kabisa, kuiga chochote kutoka popote duniani kwasababu inajitosheleza vyema katika uongozi wa kisiasa, kijamii, kiuchmi kitaifa na kimataifa 🐒
But vijana Kila siku wanalilia Ajira,Sasa ukifuta vyeo vya ukuu wa wilaya automatically takribani watu 1000 wanaKosea AjiraVipo vyeo inatakiwa kufutwa
1 Makamu wa rais
2 Mkuu wa wilaya, huyu majuku yake atafanya mkurugenzi w
3 naibu waziri huyu kazi zake atafanya katibu wa wizara
Sisi tupo na upekee ambao ni nadra sana kwa nchi nyingineKwenye nchi nyingi maarufu zenye mfumo wa Urais wenye nguvu ziko hivi
1. Marekani-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
2.Ufaransa-Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
3. Africa Kusini- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
4.Kenya-Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
5.Zambia- Haina waziri mkuu, ina makamu wa Rais
6.Ghana- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais.
7. Senegal- Haina makamu wa Rais, ina Waziri Mkuu
8.Botswana-Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
9. Brazil- Haina waziri mkuu, ina Makamu wa Rais
10. Korea Kusini- Haina makamu wa Rais, ina Waziri mkuu