DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Maana si kwa pira lile tulilopigiwa, tunaamini kabisa kule south tunaenda kukamilisha ratiba tu.
Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini...
1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri jamaa waliamua kulinda wasiruhusu magoli ugenini kwa kumiliki mpira na waliweza kufanya hivyo katika kipindi cha kwanza,kilichowaponza ni kuona kuwa wanawamudu yanga hivyo kuamua kushambulia zaidi ili wapate angalau magoli ugenini ili kazi iwe rahisi nyumbani ...matokeo yake BOOOOOOOMMMM
2. Kadi za njano za BANGALA, AUCHO na JOB zitapelekea utopolo wacheze kwa uangalifu sana katika game itakayopigwa south maana kuna uwezekano wa kupatikana kwa red card kutokana na aina ya soka lao hao jamaa wanamiliki sana mpira na ni maballdancer[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
3. Morrison ni wa hapahapa havuki boda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utabiri wangu game itaisha kwa aggregate ya Yanga 2 MALUMO GARRANTS 4.
TWENZETU KWA MADIBA.......
Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini...
1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri jamaa waliamua kulinda wasiruhusu magoli ugenini kwa kumiliki mpira na waliweza kufanya hivyo katika kipindi cha kwanza,kilichowaponza ni kuona kuwa wanawamudu yanga hivyo kuamua kushambulia zaidi ili wapate angalau magoli ugenini ili kazi iwe rahisi nyumbani ...matokeo yake BOOOOOOOMMMM
2. Kadi za njano za BANGALA, AUCHO na JOB zitapelekea utopolo wacheze kwa uangalifu sana katika game itakayopigwa south maana kuna uwezekano wa kupatikana kwa red card kutokana na aina ya soka lao hao jamaa wanamiliki sana mpira na ni maballdancer[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
3. Morrison ni wa hapahapa havuki boda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utabiri wangu game itaisha kwa aggregate ya Yanga 2 MALUMO GARRANTS 4.
TWENZETU KWA MADIBA.......