Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Tatizo ni katiba kumpa Rais umungumutu. Inabidi walio karibu wajipendekeze kutafuta teuzi na kulinda matumbo yao.
Kwa watashangilia tu.
 
Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.

Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.

It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
Babako akifa you mean hutamtaja sehemu that alikuwepo babako hivi na vile?.

Why huko unapoabudu unafanya refference ya mtume wako as dead body and spiritual why are going to praise and prostration?
 
Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
Huwezi kubadili mfumo kwa kutumia watu walewale. Magufuli angekuwa sip mwizi basi angeua CCM n kuunda chama Cha style mpya.

Hata anayetaka kuja kutumia mfumo wa Magufuli hataweza sababu CCM Wana mfumo wao wamejiweka Kama mabwanyenye na chama Cha wapigaji you can't win the game.
 
Ndiyo shida ya mwafrica jamaa yangu!! omba omba hata ukimpa mipesa mingi bado atarudi mitaani kuomba omba.!! Misaada kama haina masharti ya kipumbafu kama kuwatambua mashoga etc ,acha iletwe maana walituibia dhahabu kwa miaka mingi sana.Hela zao zikija tuzipige tu hamna namna😀😀😀😀😀😀
 
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Mie nadhani anazungumza ukweli kabisa, kuchokozana na jumuiya za kimataifa na kufanya ubabe sioni kama ina tija yoyote kwa taifa changa. Sisemi kila wanachotaka tuwe tunakubali tuu, nao ni watu wajanja vile vile wanaweza kutumia upenyo huo kujinufaisha.

All in all JPM nadhani amefariki na kuwa mfuasi au mpenzi nadhani itakuwa unajisumbua akili tuu. Nadhani unatakiwa kujadili kilichopo mbele na kutafakari kama kina maslahi na taifa.

Samia nadhani anafanya vizuri tuu kama kiongozi wa taifa, sema tuu niwashauri watanzania wasijipweteke (kuridhika). Matatizo yaliokuwapo wakati wa Magufuli yapo leo vile. Ikiwa raisi anaweza kufungia chombo cha habari au chama cha siasa, naona tatizo la kimsingi la sheria zilizopo. Raisi aliweza kuinfluence hadi maamuzi ya vyombo vya elimu kama mtoto aruhusiwe kurudi shule au akae nyumbani ? Kama mnavyofurahia Samia kuwaachia watoto warudi, vile vile akija magufuli mwengine ataweza kusema kinyume chake!

Sidhani kama raisi anatakiwa awe na mamlaka katika nchi kiasi chote hicho!
 
Sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Hawa watu wanaoishi kwa kodi zetu hawana msaada na taifa hili na hatuelew haw viongozi wa ccm wanatuchukuliaje maana tuliwai ambiw hii nchi Tajiri lkn ss tunatembez bakuli! Watz we are mentally restricted but physically liberated #tunahitaji katiba mpya tuondokane na ccm #
 
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?

JPM ameshakwenda. Jifunze kuishi kwa wakati uliopo. Kama mke wako tu fikra zenu hazifanani itakuwa viongozi. Mwache mama afanye kadiri ya maono na uwezo Wake. KUMBUKA Pia. Hawa wazungu wanakaugonjwa kwa kuwaogopa au kuwa nafasi kubwa sana wanawake. So Tz inaweza win Pia katika huruma hiyo. Sio kwa kuendelea Ila kufanya ya msingi wakati wao nao wanafaidika. There is nothing like free lunch in Europe.
 
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Kuna wakati nashawishika kutokumlaumu mama maana Ni either yupo flamed or remoted, [emoji102]
 
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Mama ni JK Pro Max.
Jk aliwahi sema huko duniani fedha zimejaa, ni wewe tu kujieleza vizuri😊😊😊😊😊😊
 
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Kwani ukiwa nae ndio unakubaliana nae kwa kila jambo?

Hata sasa sio wote walio na Samia wanakubaliana nae kwa kila jambo.
 
Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
🚮🚮🚮.Mimi nilifurahi Sana kwa sababu ile njia ya kwenda Zimbabwe imezimwa rasmi.
 
Mfuasi wa mwendazake???

Unauliza CCM ni chama gani??

Kwa hiyo ndiyo maana mlianza kuunda CCM Mpya SK Gang ndani ya CCM siyo?

It is revealed, kwamba mlijenga kikundi cha wahujumu nchi kwa nia ya kupambana na CCM.

CCM ni taasisi kongwe, imara, yenye nguvu na isiyoyumbishwa na mtu awaye yeyote hata akiwa jiwe

Lkn mliponea chupuchupu 2015. Asingekuwa huyo unayemtukana sisiem ingekuwa historia.
 
Back
Top Bottom