johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rungwe ni msanii tu yule mzee!Mbona huwa humtaji mzee wa ubwabwa bwashee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rungwe ni msanii tu yule mzee!Mbona huwa humtaji mzee wa ubwabwa bwashee?
Tatizo ni katiba kumpa Rais umungumutu. Inabidi walio karibu wajipendekeze kutafuta teuzi na kulinda matumbo yao.sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Babako akifa you mean hutamtaja sehemu that alikuwepo babako hivi na vile?.Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.
Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.
It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
Huwezi kubadili mfumo kwa kutumia watu walewale. Magufuli angekuwa sip mwizi basi angeua CCM n kuunda chama Cha style mpya.Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
Mie nadhani anazungumza ukweli kabisa, kuchokozana na jumuiya za kimataifa na kufanya ubabe sioni kama ina tija yoyote kwa taifa changa. Sisemi kila wanachotaka tuwe tunakubali tuu, nao ni watu wajanja vile vile wanaweza kutumia upenyo huo kujinufaisha.sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Hawa watu wanaoishi kwa kodi zetu hawana msaada na taifa hili na hatuelew haw viongozi wa ccm wanatuchukuliaje maana tuliwai ambiw hii nchi Tajiri lkn ss tunatembez bakuli! Watz we are mentally restricted but physically liberated #tunahitaji katiba mpya tuondokane na ccm #Sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Kuna wakati nashawishika kutokumlaumu mama maana Ni either yupo flamed or remoted, [emoji102]sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Wewe wa Lumumba huishi kuisema chadema....Kila zama na kitabu chake!
Ccm ni chama kikubwa chenye mkusanyiko chanya wa fikra.
Tofauti na Chadema ambayo bila Freeman Mbowe hakuna chama.
Mama ni JK Pro Max.sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Kwani ukiwa nae ndio unakubaliana nae kwa kila jambo?sisi wafuasi wa magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
tunauliza where is our pride? maneno haya ni kinyume kabisa na kujiamini alipotupa Magufuli na Kabudi...na wana CCM wengi walivyo wanafiki wanampigia makofi kama walivyopiga kwa Magufuli, ndio maana kuna wakati najiuliza CCM ni chama cha siasa au ni genge tu la watu wanaolindwa na mabunduki kujipa madaraka na kula kodi zetu? ni chama gani cha siasa kisichokuwa na itikadi? ukiwaambia hii haifai wataitikia na kushangilia, kesho mwingine anakuambia inafaa wanashangilia tena, hiki ni chama kweli? tunapata wapi confidence ya kuwakejeli vyama vingine kama chama chetu kipo hivi?
Kwani ni uongo? Fedha zimejaa ndio ila sio za Mgao ,ni kujenga ushawishi.Mama ni JK Pro Max.
Jk aliwahi sema huko duniani fedha zimejaa, ni wewe tu kujieleza vizuri😊😊😊😊😊😊
Kahaba wa Ufipa imekuingia!Wewe kahaba wa Lumumba huishi kuisema chadema....
🚮🚮🚮.Mimi nilifurahi Sana kwa sababu ile njia ya kwenda Zimbabwe imezimwa rasmi.Well, siku ile tulivyompoteza Magufuli mi binafsi niliumia sana. Nilijua kama nchi tumepata hasara kubwa sana kumpoteza kiongozi wa aina ile. At the same time mi ni mtu wa imani: kufa kwa Musa hakukuwa mwisho wa safari ya kuelekea Kanaani, na kazi aliyoifanya Magufuli ya kujenga imani ya taifa haiwezi kufutwa na mtu mmoja tu pale Magogoni. The man can rest in peace, maana somo lake lilieleweka, hata kama si kwa wale waliokuwa wasaidizi wake wa karibu.
Mfuasi wa mwendazake???
Unauliza CCM ni chama gani??
Kwa hiyo ndiyo maana mlianza kuunda CCM Mpya SK Gang ndani ya CCM siyo?
It is revealed, kwamba mlijenga kikundi cha wahujumu nchi kwa nia ya kupambana na CCM.
CCM ni taasisi kongwe, imara, yenye nguvu na isiyoyumbishwa na mtu awaye yeyote hata akiwa jiwe
Na wewe ulimuamini? Yule alikuwa tapeli na master wa propaganda.Mwendazake alituambia hii nchi ni Tajiri sana inaweza kuwa donor country.
Sasa imekuaje tena mama anagombea fedha za mabeberu?!
Nasikia polepole mmeachana?Kahaba wa Ufipa imekuingia!