Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Mkuu unajua maana ya chama cha siasa? chama cha siasa kipo defined na princiles ambazo zinakiamini ambazo ndizo hutumia kushawishi wananchi na wananchi wakakipa madaraka. Kama Samia na Magufuli walikuwa chama kimoja na tena kweny tiketi moja ya mtu na makamo wake basi imani ya ya kisiasa ilitakiwa kuwa moja, kama sivyo basi mtuamb ia CCM sio chama cha siasa, ni kusanyiko tu la watafuta fursa
Hakuna kitu kama hicho,hata kama hamkunaliani ila aliyepitishwa ndio unalazimika kumpigia debe na si vinginevyo.
 
Kila zama na kitabu chake!

Ccm ni chama kikubwa chenye mkusanyiko chanya wa fikra.

Tofauti na Chadema ambayo bila Freeman Mbowe hakuna chama.

CCC ni chama cha Dunia Bwashee…
Tutaondoka Tutakiacha bwashee…Waambie bwashee[emoji3516][emoji851][emoji30]
 
Kila zama na kitabu chake!

Ccm ni chama kikubwa chenye mkusanyiko chanya wa fikra.

Tofauti na Chadema ambayo bila Freeman Mbowe hakuna chama.

206FF1FA-9543-4181-B3C4-9444B1795D6B.jpeg
 
Mtu alishakufa mnajifanya wafuasi wake kwa hiyo mnaongozwa na mzimu? Nyerere mwenyewe alipokufa aliibuka Kikwete akajiita JK watu wakaaminishwa eti alikuwa mwanafunzi wa Nyerere na mfuasi wa Nyerere Ila alichokuja kufanya anajua mwenyewe.

Same as nyie mnaojifanya wafuasi wa mfu, Magufuli is dead so as his doings, beliefs and legacies.

It's high time for you to come back to your senses and get used to the new system coz things will never be the same again.
Acha wawe wafuasi wake,,sisi tunaenda another way with Samia.
 
CCM mbona ilimshangilia hadi ikampitisha kugombea muhula wa pili kwa kishindo na tena kutaka aongezewe muda wa mihula mingine zaidi kwa lazima?
Hahaha ndugu, wana CCM wana moja kitu kikubwa sana, nacho ni uhimilifu na kuvumilia.
 
Poleni kwa kuumizwa lakini kusema ukweli hakuwa kiongozi anayefaa kuongoza taasisi ya urais,alifaa kuwa nyapala wa barabara.
 
Subirini "birthday" ya kifo chake inakaribia, mkalalamike huko Chattle
 
Back
Top Bottom