Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Waache watu waishi maisha yao. Wapo kwenye nchi huru wakitaka waishi kwenye ndoto zao ni haki yao na siku ikifika wakitaka kutoa wahuni madarakani ni haki yao pia.
 
Kila zama na kitabu chake!

Ccm ni chama kikubwa chenye mkusanyiko chanya wa fikra.

Tofauti na Chadema ambayo bila Freeman Mbowe hakuna chama.
Chama chetu ni kikubwa kweli, chama dola.

ILA UKWELI NI HUU: Ahadi za mwanaCCM ni kama tumezifungia kabatini...we are sailing on our own likes and dislikes, tumesahau kuwa chama kipo kusimamia maslahi ya wananchi...chama Mama TANU kilikuwa imara kwa sababu kilijikita ktk maslahi ya watu kwa ujumla wake.
 
Hakuna kitu kama hicho,hata kama hamkunaliani ila aliyepitishwa ndio unalazimika kumpigia debe na si vinginevyo.
Sasa huu ni unafiki wa hatari sana . Hata akitokea rais anauza nchi atasifiwa kisa ndio mwenyekiti! Upumbavu gani huu?
 
Mkuu wa genge .kuchwa kutwa kutembeza bakuli .hatuna njaa sisi na vijipesa anavyobangaiza aje tufanye miradi tupate hela tujiendeshe kama nchi hayo magenge watajuana
 
Kwani kuna ubaya gani na sisi tukiwa kwenye kinyang'anyiro cha kupata hayo mafurushi ya wahisani, sisi watanzani hatuna jema we unazani miradi itaenda? 70 % ya mapato yanaenda kwenye madeni je pesa inayobaki itatosha kuendesha nchi pamoja na miradi mikubwa kama hii?
 


Wafuasi wa Magufuli mbona ameenda peke yake , Mnasubiri kitu gani ?+ Si mumfuate tu huko kuzimu
 
Unataka Tanzania iwe kama Ulaya halafu matendo yako unafanya kama inavofanya Serikali ya Uganda.

Yani kwa lugha nyepesi tunasema unaimba kama malaika halafu unacheza kama shetani.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
sisi wafuasi wa Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Samia baada ya kutoka Ulaya, tunauliuza watu hawa walikuwa chama kimoja kweli? Achilia mbali kuwa kwenye ticket moja ya kupigiwa kura
Mkuu, jipange ukutane naye kwenye sanduku la kura ndo ajue kiwango cha maumivu yako.
 
CCM kama chama ni kuanzia kipindi cha Nyerere mpaka wakati wa Mkapa tu! Baada ya hapo, iligeuka kutoka chama na kuwa kikundi cha watu wachache wanaifaidi mema ya nchi, huku wananchi walio wengi wakiishi maisha ya kupigika..
Toka aingie Kikwete hicho sio chama tena bali ni GENGE la waporaji!! No ideology bali ni wizi wizi tu!!
 
Nimekulia uswahilini kwa ndugu zangu wa mwambao...ndugu zangu hawa wanapenda sana vya bure, wa vivu wa kufanya kazi ila hela wanaipenda, bata wanalipenda...ukimpa kazi akaomba advance imekula kwako kazi haitaisha bt mkikutana aachi kukuomba pesa...hawamini kabisa ktk hard working...
km huamini tembea Bagamoyo or Mkuranga vibarua wa kulima ni watu wa bara wao wamekaa kupiga soga na kusubiri wakutie nuksi shamba lisitoe.
So si shangai km tumegeuka Omba Omba km enzi za Vasco, its their culture, ipo ktk damu...
We can't change it, tuvumilie mpaka tutakapo pata wa bara mwingine.
Kauli Km Ujamaa na Kujutegemea, ....
Mtaji wa Maskini ni nguvu zako mwenyewe..
na sisi ni donor country mzisahau kwa muda, maana zile zilitoka kwa hardworking leaders kutoka bara...
Now zitawala kauli za misaada na huko nje kuna hela unahitaji tu kujieleza...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We mdau mwenye yale maneno ya viongozi wa chadema dhidi ya lowasa kabla ya 2015 na baada ya kufika 2015 walipomkabidhi kijiti cha kuiongoza katika mbio za uraisi tafadhali tupia ili mtoa mada nae aone halafu atuambie twende wapi!!! Ahsante
 
Matusi ya aina hii hayajaanza leo kwa watu hao na hata hayatoisha mpaka dunia itafikia ukingoni.......wenyewe wanajua hilo na ndo maana hata haliwapi shida; hawawezi kugombana na mtu kisa vijimaneno km hivyo......wapo na wataendelea kuwepo. Kuna mtu mmoja aliniambia kuwa imeandikwa hata kwenye kitabu chao, kuwa wategemee matusi na kila aina ya kashfa kutoka kwa watu wa pande fulani hadi pale watakapoachana na kitabu hicho. Sijui ni kweli hili maana sina uhakika.
 
Siku hizi mmeachana na dhana ya collective responsibility? Sukuma gang anzisheni chama chenu.
 
Kwani ni uongo? Fedha zimejaa ndio ila sio za Mgao ,ni kujenga ushawishi.

Kati ya JK na wengine yupi alitufaidi hapa Tzn?
Ushawishi gani utawapa wazungu wakupe hela bila wao kufaidika na chochote? Ndo maana hii misaada inatolewa kwa mikataba yenye masharti lukuki, kwa kiongozi mwerevu akitafakali impact ya hayo masharti hawezi kukimbilia misaada ya hawa watu.
 
Ukosefu wa itikadi ndicho kinachowafanya ninyi kuwa wafuasi wa marehemu na bado mnajitangaza hadharani.Marehemu wenu alikuwa na itikadi gani?
CCM ni janga la Taifa na wafuasi wake ni watu wenye kuabudu wafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…