Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Sio kwamba ni uchoyo shida hawa waislam dini yao inakataza kushiriki kwa njia yeyote sikukuu za kikristo ila kwa upande wa ukristo huwa hamna shida.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Yaani utafiti wa kamtaa kamoja,unahukumu nchi nzima!!
Ukiona wakristo hawakukalibishi,wewe sio wa level yao,maskini na mskini,tajiri na tajiri.
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Usitujumlishe wote,jisemee wewe kwa nafsi yako kuwa wewe ni mchoyo.
 
Mkuu hizi Dini zinafalsafa zake ukristo ni ubepari na UISLAMU no ujamaa!!Sasa una haki ya kuchagua ubepari au ujamaa!!ubepari ni uchoyo,ubinafsi,tamaa ya Mali,kusanya vya watu Hadi wawe wanyonge wakunyenyekee na ujamaa tutumie wote KWA pamoja chochote kile tulicho nacho hata kama ni kidogo!!!KAZI kwako!!
 
Mkuu hizi Dini zinafalsafa zake ukristo ni ubepari na UISLAMU no ujamaa!!Sasa una haki ya kuchagua ubepari au ujamaa!!ubepari ni uchoyo,ubinafsi,tamaa ya Mali,kusanya vya watu Hadi wawe wanyonge wakunyenyekee na ujamaa tutumie wote KWA pamoja chochote kile tulicho nacho hata kama ni kidogo!!!KAZI kwako!!
Acha kueneza chuki ktk jamii.Mods mko wapi jamani,watu km hawa ni kuwapiga ban miaka kumi Jinga sana.
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Nilishuhudia Waislamu wakigawa vyakula, Kila siku hospitalini Tanga, sikujua ni kwa muda gani, nilikuwa mpitaji tu.
 
Nilishuhudia Waislamu wakigawa vyakula, Kila siku hospitalini Tanga, sikujua ni kwa muda gani, nilikuwa mpitaji tu.
Lkn na Mimi nimeshiriki Easter lunch na Christmas lunch ambacho ni chakula maalumu kwaajili ya Wahitaji, Morogoro pale imefanyika sana, ambapo Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Morogoro alikuwa anakuwa mgeni rasmi,ni chakula pamoja na Watoto Yatima, watoto wa mitaani,na Wahitaji wengine.Kumbe wewe ulishuhudia Waislamu wakifanya hivyo lkn bahati mbaya hujapata kushuhudia Wakristo nao wakifanya hivyo,basi nikutoe tu matongotongo kuwa hata Wakristo nao hufanya hivyo sema huwa hatujitangazi.
 
kwa kweli waislamu wakarimu sana kuliko sisi wakiristo. ona siku ya wao kufunga watu wanapeana michele mafuta sukari pesa kila aina ya nafaka zinatolewa kugawiwa watu nyama mbuzi wanachinjwa maelfu wanakuja kugawa nyama kwa waislamu na wakristo nimeshuhudia msikiti hapo boma karibu na nssf eid ya mwaka jana 2021 ilikuja gari tani tatu imebeba mbuzi waliochinjwa na kuchunwa zaidi ya 100 wakaanza kugawa nyama mpaka wamasai walikuwepo na kuna mdada eliza mkristo alikuwepo na akapewa walikuwa wagalatia kibao
 
Back
Top Bottom