Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela..wekeza kwa maisha ya wanao, hakuna gari la thamaniLakini sio ununue tumidori tugari twa kujifunzia watoto kuendesha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa sijui hizi gari zilikukosea nini?NIKIWA Kama baba wa binti,
Sipokei mahali iliyoletwa Kwenye IST[emoji4]
Jf never boring[emoji1787][emoji1787]Ukute umeshika Bomba kwenye mwendokasi af unajisemesha tu.
Gari ya watoto kujifunzia kuendeshaMbona tutapangiana maisha kwani baby walker na hizo ma bmw v8 zote si zinatumia wese.Ntakupenda daima passo
Haiwezekani umiliki gari la maana ushindwe kuiacha familia katika misingi boraMwanaume unatakiwa ujiulize..'NIKIFA LEO FAMILIA YANGU ITAISHI VP?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu mwehu kanichekesha kweli. Halafu hata hilo la kudumbukia tu sina[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumetukanwa mdogo wangu
Nasikia Shati la Lemutuz linaweza kufunika Vits!!Nime kuwa nasikitika sana kuona wanaume wenzangu wananaua tumidori vigari vidogo sana havina nafasi Ist,Vits na ndugu zake wakina passo n.k tupambane tutafute hela tununue BMW V8 PRADO n.k
Mjitafakari jipange ununue hondaSisi wenye pikipiki za fekon 0km tupo kundi gani ?
Binafsi nimecheka..[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu mwehu kanichekesha kweli. Halafu hata hilo la kudumbukia tu sina[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
mengine unaingia kwa kutambaaHilo kweli ,kuna gari la kupanda na gari la kudumbukia
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Ni mambo ya aibu sana kuomba lift kwenye utu tumidoriMwanaume unapata wapi ujasili wa kuomba lift Kwenye IST
Huogopi HATARI ya kupata bawasiri kutokana na kujikunja miguu na magoti MDA mrefu? [emoji4]