Sisi wanaume tutafute hela tununue magari ya hadhi yetu

Sisi wanaume tutafute hela tununue magari ya hadhi yetu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa sijui hizi gari zilikukosea nini?

Kuna Comment yako siku za nyuma uliwahi kuandika kuliko mtu kununua hii gari bora anunue Mwavuli.. Nilicheka sijawahi kusahau..
Hizi gari sizipendi mpaka Basi[emoji2]
 
Hivi Mwanaume unapata wapi ujasili wa kuendesha vitz/ IST mchana kweupe?

Tena kibaya zaidi,
eti Umefungua na vioo umeweka konga kabisa dirishani[emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada jitahidi tuwe tunapanda gari jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna namna mdogo wangu..
Ule mzigo inabidi tuongeze tupande magari.. tuachane na magari ya kudumbukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF Idumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humu inachekesha mno.
Ila kila mtu hufanya kitu kutokana na uwezo wa mfuko, hakuna anayependa gari ndogo basi tu tatizo hela
 
honestly sina gari japokuwa ni kitu kipo katika ratiba zangu za mwaka huu ila nakumbusha ni uduanzi mwanaume kupaki gari katika parking ya mwanaume mwenzio imean kupaki gari katika nyumba ya kupanga labda itokee kwa sababu za kikazi kuwa umepangiwa mkoani kikazi na unapaswa kuishi hukohuko ila hii michongo ya wanaume wa dar kupanga una mke na watoto na gari ni ufala, na kuna mjinga mmoja hapa jirani yangu ana crown alafu amepanga single room ya elfu arobaini, kudadeki nikikwambia mwanaume mwenye akili timamu akianza kazi za udalali ujue kawehuka watu wananiona ninamajungu, any way inshort mwaka huu umekuwa neema kwangu maana nimehamia kwangu na kwa wenye uzoefu wa magari ningependa mnijulishe kati ya foresta XT na Nissan Duals, pamoja athlethe crown ni gari ipi nzuri ya kuanzia maisha kwa sisi ambao ndio tunaanza maisha ya kuendesha gari? nadhani kwa sasa ndio gari ambazo zinanivutia

Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
 
honestly sina gari japokuwa ni kitu kipo katika ratiba zangu za mwaka huu ila nakumbusha ni uduanzi mwanaume kupaki gari katika parking ya mwanaume mwenzio imean kupaki gari katika nyumba ya kupanga labda itokee kwa sababu za kikazi kuwa umepangiwa mkoani kikazi na unapaswa kuishi hukohuko ila hii michongo ya wanaume wa dar kupanga una mke na watoto na gari ni ufala, na kuna mjinga mmoja hapa jirani yangu ana crown alafu amepanga single room ya elfu arobaini, kudadeki nikikwambia mwanaume mwenye akili timamu akianza kazi za udalali ujue kawehuka watu wananiona ninamajungu, any way inshort mwaka huu umekuwa neema kwangu maana nimehamia kwangu na kwa wenye uzoefu wa magari ningependa mnijulishe kati ya foresta XT na Nissan Duals, pamoja athlethe crown ni gari ipi nzuri ya kuanzia maisha kwa sisi ambao ndio tunaanza maisha ya kuendesha gari? nadhani kwa sasa ndio gari ambazo zinanivutia

Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
Kujenga pia ni uoga wa maisha
 
Back
Top Bottom