Sisi Wanaume wa Dar leo hii tumesimama hapa Kuwapa ukweli Halisi. Dar Vs Mikoani Battle is around

MZEE RAZA upo? Nina kibarua flan hapa nafanya nikirudi nakuja kuwajib hawa warugaruga... Wameingia humu kunanukia tu jasho lao...
 
Reactions: Lee
Wanaume wa mikoani wakimuona uwoya wanaruka utazan wamekutana na yesu akat sie mjini anaolewa na dogo tu, juzi Roma kaja huko mmemuabudu mpk mmemtandikia zulia akat sie mjini tunakula nae juisi ya miwa kitaa
 
Nasikia ukiwa na wa Dar usikohoe wala kupiga chafya una haribu kila kitu [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Posta utakuta hapa anaishi mkulu pembeni tunakaanga samaki sasa akija huko utaskia yupo ziarani
 
Waliohamishwa juzi kwenye mawizara kuja hapa kwetu Dom nao wameshakua wa mikoani?? Tujulishane ili battle liende vzr
Bado wana kamba mguuni, kila Ijumaa jioni au Jumamosi asubuhi wanarudi Dar sijui kula pweza sijui
 
MZEE RAZA upo? Nina kibarua flan hapa nafanya nikirudi nakuja kuwajib hawa warugaruga... Wameingia humu kunanukia tu jasho lao...
Ndo maana kumbe huwa mnatembea na pafyumuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] nyie
 
[emoji15] vp mkuu...mbona unaongea ukweli badala ya utani
 
Saw nyie mshazowea kupigwa pump za baskeli
 
Kweli kabisa hebu wadada changieni mmalize huu utata wa Wana uume wa dar na Wana uume wa mikoOne......
Sitaki hata kuwasikia, mlango ukigongwa usiku wa manane anakuamsha akitetemeka, ukimuuliza nini tena anakwambia si mnasemaga "lady is first" "kawasikilize basi" hili neno hutolisikia huku nilipo, narudia Sitaki hata kuwasikia [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…