Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
- #81
ngoja tuone maana ndoa ilikua januari tarehe zamwanzon kabisaKwakweli, kama ana ujasiri bora aache tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja tuone maana ndoa ilikua januari tarehe zamwanzon kabisaKwakweli, kama ana ujasiri bora aache tu
Oukayngoja tuone maana ndoa ilikua januari tarehe zamwanzon kabisa
Asimsikilize mtu.mwanaume wa watu yupo njia pnda hajui amfate yupi amsikilize mama yake anayemtishia kama mimi sio mama yako ndoa iko pale pale au baba anayemwambia hakuna ndoa na mahari yetu waturudishie au amsamehe baby wake shetani wamwisho wa mwaka kampitia tu
Wengi tu wanafanya hivo mbona.Na yeye nae ni malayer konki
Unakaribia ndoani kweli unacheat?? Serious?
Hilo halikua jambo la Mungu. Ni la shetani kabisa. Mungu kamsanua tu kijana wa watu kua hili ni bomu unalisukaTatizo huenda na huyo shemeji yake wameanza zamani na ile kufanya mazoea kwamba hakuna atakayejua, pengine na ile tufanye ya mwisho ya kuagana.. Na kwenye jambo la Mungu shetani anaweka makao hapohapo kupigia mstari ili ndoa isifanikiwe
Kwakweli 🤦♀️Hilo halikua jambo la Mungu. Ni la shetani kabisa. Mungu kamsanua tu kijana wa watu kua hili ni bomu unalisuka
Mama anachotaka ni kapu la mama..Mama hataki kujibu swali la jamii kwanini ndoa haijafungwa..
Hii inamaanishi hilo ''janaume'' linalotaka kuoa linapangiwa mambo yake na wazazi!habari zishagaa hakuna mtu asiejua s unajua taarifa mbaya husambaa kwa haraka zaidi sasa kuna haja gani kufosi ndoa kwa scenerio kama hiyo? huku baba anataka warudishiwe mahari huku mama ansema haiwezekani ndoa ipo pale pale
Kuna wanaume wasio na wivu. Hasa huko uswazi haya mambo ndiyo yametawala. Mpangaji wa chumba cha pili leo anafumaniwa na mke wa mpangaji wa chumba cha kwanza, unazuka ugomvi, keshokutwa unakuta uogomvi umeisha wanaongozana. Huyo jamaa yako ana moyo mgumu sana.Hatari sana. Hili lilimkuta jamaa yangu, alimfunia mkewe mtarajiwa siku 2 kabla ya ndoa na bado akamuoa. Hadi leo wapo wote mwaka kama wa nane
Hili scenerio huwa inatokea mara nyingi kuliko unavyofikiri. Mara nyingi unakuta ni mwanamme anamwambia demu ''waagane''.Na yeye nae ni malayer konki
Unakaribia ndoani kweli unacheat?? Serious?
Huyo jamaa ni mtoto wa kishia kinoma. Kabla ya ndoa alikuwa akiishi na demu wake so dem alikuwa anaaga anaenda kwao kumbe anaenda kwa jamaa yake... Anakaa weekendKuna wanaume wasio na wivu. Hasa huko uswazi haya mambo ndiyo yametawala. Mpangaji wa chumba cha pili leo anafumaniwa na mke wa mpangaji wa chumba cha kwanza, unazuka ugomvi, keshokutwa unakuta uogomvi umeisha wanaongozana. Huyo jamaa yako ana moyo mgumu sana.
Walikuwa wanaagana mkuu cha kuendea ndoaniNa yeye nae ni malayer konki
Unakaribia ndoani kweli unacheat?? Serious?
Huyo mama mwenyewe atakuwa ni mkware.kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah
Kaka wa watu kajitafuta kajipata, kajitutumua kwenda ukweni akapangiwa mahari tena ya bei na vitu ghali akatimiza yote mpaka tarehe ya ndoa ikapangwa, kisanga kikaja bibie kafumaniwa na mume wa nduguye tena kakiri si mara moja wala mbili shemeji anatelezesha utamu kwake.
Ujinga unaokuja ni mama wa mwanaume kushinikiza mwanae aoe hivyohivyo kisa watu wameshatoa michango na sare vitambaa wamekata hivi mama kweli unaweza kumshauri mwanao huu wazimu?
Hili huwa linatokea. Kuna mtu wa ukoo wetu naye ilimtokea lakini yeye ilikuwa ni kwenye haya makanisa ya walokole. Jamaa alikuwa na binti hapo hapo kanisani na kanisa zima lilikuwa linajua ni wachumba wanaokaribia kufunga ndoa. Msichana akaja kufumaniwa na kiongozi wa kanisa. Mchungaji mwenye kanisa akawa anamshinikiza jamaa amuoe. Wakaweka kikao cha wazee wa kanisa wakamlisha jamaa mahubiri na umuhimu wa kusamahe, jamaa akakataa katakata na akawatukana matusi mazito. Akafikia hatua ya kusema ulokole ni upotofu na akakata mguu kanisani kabisa. Baada kabisa akaja kubadilisha mawazo na kuanza kuhudhuria tena kanisani ila mpaka sasa hajaoa na imepita miaka kama nane tangu kisa kitokee.shida inakuja jamaa huyo ndio alikua mwanamke wake aliewekeza hisia zake kwake ni huyo huyo tangu watu tunahisi hisi mpaka ikawa dhahiri