Sisi Wasukuma, ni nani aliyeturoga?

Huyo anaigiza ni simba tupu
 
Tutoleee ushamba wako hapa!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani haiwezekani hawa wasukuma tungebadilishana hata na wasudani kusini? Yaani tunawachukua baadhi ya wasudani halafu wao tunawapea wasukuma!! Wakapigwe na njaa ili wapate akili πŸ˜‚πŸ˜‚
Msukuma kwenye njaa hakai ataenda hata Congo porini akajifiche akate miti alime apate chakula. Sasa hivi wanavusha Ng'ombe kwenda kutafuta malisho Congo soon pori wanalojificha maimai na M23 anaenda kulimaliza 😁😁😁
 
Wanatutumia tu. Filisika uone wanawake watapeleka wapi huo weusi na urefu wako
 
Kumbe siku hizi mmeanza kuwa na akili.....

Hongereni sana, ila tunajuta tulivyowapa nchi kwa bahati mbaya mpaka Mwenyezi Mungu alipoamua kufanya maamuzi magumu kwa kutuonea huruma....
Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!

Wasukuma noma! Wanakupelekea moto mpaka hata akifa unashindwa kabisa kumsahahu kama hivi.

Haya maumivu yako tafuta msukuma mwingine
 
Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!

Wasukuma noma! Wanakupelekea moto mpaka hata akifa unashindwa kabisa kumsahahu kama hivi.

Haya maumivu yako tafuta msukuma mwingine
Kwa hiyo kumbe yule jamaa alikuwa anajihusisha na nanhii ya jinsia moja?
 
Hii lafudhi si ya kisukuma ata kidogo, ni kama muhaya au muha kama sikosei.
 
Msukuma kwenye njaa hakai ataenda hata Congo porini akajifiche akate miti alime apate chakula. Sasa hivi wanavusha Ng'ombe kwenda kutafuta malisho Congo soon pori wanalojificha maimai na M23 anaenda kulimaliza 😁😁😁
Kama wasukuma sasa wanaingia pori la Congo, basi ngosha nimewavulia kofia........ni muda tu utawasikia wameibukia misitu ya amazon πŸ˜‚
 
Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!

Wasukuma noma! Wanakupelekea moto mpaka hata akifa unashindwa kabisa kumsahahu kama hivi.

Haya maumivu yako tafuta msukuma mwingine
Umeacha ushoga?
 
Kwani haiwezekani hawa wasukuma tungebadilishana hata na wasudani kusini? Yaani tunawachukua baadhi ya wasudani halafu wao tunawapea wasukuma!! Wakapigwe na njaa ili wapate akili [emoji23][emoji23]
Teh Nyani Ngabu unaonaje wazo hili?
 
Nujuta kutokuolewa na msukuma. Tatizo university ke ukikutana na wasukuma me wote wanakuwa kaka zako. Kaka dada. Ila wasukuma ni peace sana kwa kweli.
 
Ni hatari wao ni kukata miti na kusonga mbele na Ng'ombe zao ukiwazingua wanakupiga mkwanja wanatembea hela keshi wakiishiwa wanasogea kwenye mnada wa ng'ombe uliokaribu wanauza ngo'mbe watano wanabeba 10MIllioni😁😁 kwenye bukta zao wanasonga mbele
Kama wasukuma sasa wanaingia pori la Congo, basi ngosha nimewavulia kofia........ni muda tu utawasikia wameibukia misitu ya amazon πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…