Huyo anaigiza ni simba tupuKwa kweli sisi ni washamba sana na malimbukeni.
Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake.
Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu.
Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi ya ajabu.
Kupiga wrong number sasa.....dadad dadada dadadaaa.
Sisi ndiyo tuna kila kitu cha ajabu, licha ya kwamba Mungu ametutunuku nguvu, akili, maarifa na jitihada. Sehemu akiingia Msukuma maendeleo yanakuja.
View attachment 2405409
Tutoleee ushamba wako hapa!!!πππUngejua wanawake wanavyotupenda wasukuma..kwanza tuna nguvu za uhakika mana tunakula sana..hivyo tunapelekea moto sio mchezo.
Pili tunnafanya kazi sana kilimo..biashara n.k hivyo vijipesa vya kuhonga havikosekani natunahongaga kweli kweli hasa demu akiwa mweupe.
Tatu tuna miili mikubwa warefu siunajua mademu wanapendaga wanaume warefu na weusi..kwahiyo wanatushobokeaga wenyewe.
Yani hiiiiiiiii wewe achaga tu tunawa tafunaga...lekaga gete bhahebhu.
Wabeja sana..wasukuma ndoho tabhu.
#MaendeleoHayanaChama
Msukuma kwenye njaa hakai ataenda hata Congo porini akajifiche akate miti alime apate chakula. Sasa hivi wanavusha Ng'ombe kwenda kutafuta malisho Congo soon pori wanalojificha maimai na M23 anaenda kulimaliza πππKwani haiwezekani hawa wasukuma tungebadilishana hata na wasudani kusini? Yaani tunawachukua baadhi ya wasudani halafu wao tunawapea wasukuma!! Wakapigwe na njaa ili wapate akili ππ
Wanatutumia tu. Filisika uone wanawake watapeleka wapi huo weusi na urefu wakoUngejua wanawake wanavyotupenda wasukuma..kwanza tuna nguvu za uhakika mana tunakula sana..hivyo tunapelekea moto sio mchezo.
Pili tunnafanya kazi sana kilimo..biashara n.k hivyo vijipesa vya kuhonga havikosekani natunahongaga kweli kweli hasa demu akiwa mweupe.
Tatu tuna miili mikubwa warefu siunajua mademu wanapendaga wanaume warefu na weusi..kwahiyo wanatushobokeaga wenyewe.
Yani hiiiiiiiii wewe achaga tu tunawa tafunaga...lekaga gete bhahebhu.
Wabeja sana..wasukuma ndoho tabhu.
#MaendeleoHayanaChama
Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!Kumbe siku hizi mmeanza kuwa na akili.....
Hongereni sana, ila tunajuta tulivyowapa nchi kwa bahati mbaya mpaka Mwenyezi Mungu alipoamua kufanya maamuzi magumu kwa kutuonea huruma....
Ni kabila maarufu sana hata mngekuwa mabubuHili kabila ni kama tunavyowapaisha wahadzabe....mdomo wetu utafanya wasukuma wawe kabila maarufu sana
Kwa hiyo kumbe yule jamaa alikuwa anajihusisha na nanhii ya jinsia moja?Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!
Wasukuma noma! Wanakupelekea moto mpaka hata akifa unashindwa kabisa kumsahahu kama hivi.
Haya maumivu yako tafuta msukuma mwingine
Hii lafudhi si ya kisukuma ata kidogo, ni kama muhaya au muha kama sikosei.Kwa kweli sisi ni washamba sana na malimbukeni.
Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake.
Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu.
Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi ya ajabu.
Kupiga wrong number sasa.....dadad dadada dadadaaa.
Sisi ndiyo tuna kila kitu cha ajabu, licha ya kwamba Mungu ametutunuku nguvu, akili, maarifa na jitihada. Sehemu akiingia Msukuma maendeleo yanakuja.
View attachment 2405409
Hapana mi nadhani ni lafudhi ya MchinaHii lafudhi si ya kisukuma ata kidogo, ni kama muhaya au muha kama sikosei.
ππππ wasukuma tunapata tabu sana.Hapana mi nadhani ni lafudhi ya Mchina
Kama wasukuma sasa wanaingia pori la Congo, basi ngosha nimewavulia kofia........ni muda tu utawasikia wameibukia misitu ya amazon πMsukuma kwenye njaa hakai ataenda hata Congo porini akajifiche akate miti alime apate chakula. Sasa hivi wanavusha Ng'ombe kwenda kutafuta malisho Congo soon pori wanalojificha maimai na M23 anaenda kulimaliza πππ
Umeacha ushoga?Nilijua tu lazima ujitokeze uje umkumbuke yule mbutuaji wako!
Wasukuma noma! Wanakupelekea moto mpaka hata akifa unashindwa kabisa kumsahahu kama hivi.
Haya maumivu yako tafuta msukuma mwingine
Teh Nyani Ngabu unaonaje wazo hili?Kwani haiwezekani hawa wasukuma tungebadilishana hata na wasudani kusini? Yaani tunawachukua baadhi ya wasudani halafu wao tunawapea wasukuma!! Wakapigwe na njaa ili wapate akili [emoji23][emoji23]
Nujuta kutokuolewa na msukuma. Tatizo university ke ukikutana na wasukuma me wote wanakuwa kaka zako. Kaka dada. Ila wasukuma ni peace sana kwa kweli.Ungejua wanawake wanavyotupenda wasukuma..kwanza tuna nguvu za uhakika mana tunakula sana..hivyo tunapelekea moto sio mchezo.
Pili tunnafanya kazi sana kilimo..biashara n.k hivyo vijipesa vya kuhonga havikosekani natunahongaga kweli kweli hasa demu akiwa mweupe.
Tatu tuna miili mikubwa warefu siunajua mademu wanapendaga wanaume warefu na weusi..kwahiyo wanatushobokeaga wenyewe.
Yani hiiiiiiiii wewe achaga tu tunawa tafunaga...lekaga gete bhahebhu.
Wabeja sana..wasukuma ndoho tabhu.
#MaendeleoHayanaChama
Kama wasukuma sasa wanaingia pori la Congo, basi ngosha nimewavulia kofia........ni muda tu utawasikia wameibukia misitu ya amazon π
Haha hahah tukutoe msukule tufuzu leoMimi Yanga ila wasukuma mtukome.