Sisi wengine Rais Samia sio mama yetu ni dada yetu

Sisi wengine Rais Samia sio mama yetu ni dada yetu

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nilishangaa kijiweni kizee cha miaka 70+ kinasema mama sijui kafanyaje,nikasema huyu mzee ana bahati kuwa na mama umri huu kumbe alimaanisha Rais Samia.

Pia Siku ile Sugu anatimiza miaka 30 ya muziki nikasikia Rais anasema we Sugu ni mwanangu, kiukweli Rais hawezi kumzaa Sugu. Sugu ana miaka 50 na Rais ana 61 ?
?the diference is too minimal to call her mother.

You call her mama we call her Sister acheni kumtwika mizigo mizito.kuwa mama wa watanzania wote sio kazi ndogo

Kwanza tunamvunjia heshima kumuita mama tumuite tu Rais
 
Mwanangu wa kike namuita mama, haimaniishi anaweza kunizaa.
Mama ni jina la heshima tu kwa jinsia ya kike.
Kosa kubwa sana,wengine eti mke wake anamuita mama ina maana when you fvck ya wife you fvck ya mama
 
Kama Baba na mama nyumbani wanaitana "baby" usishangae zee zima likamuita binti yake mama.
inawezakuwa haina mvuto kumwita demu wako au mkeo mama,ila binti yako sio ishu ndio maama wengine wanawapa majina ya mama zao wazazi.
 
Ofcoz na bila kujipendekeza huseni mwanae asingekuwa rais zenji,wala adingepewa zawadi ya benzi
mwinyi jr kawa rais 2020,kauli hiyo mwinyi sr ameitoa siku ya msiba wa jpm.
benz aliikataa kwa taarifa yako.
 
Hapana ni SAHIHI [emoji817].mtoto wako NI mzazi wako.ndo maana Bibi na Babu na wajukuu zao wanapendana sana Sababu NI version zao za 2.
kuna vitu baba yako hawezi kukueleza ila anaweza kumwambia mjukuu wake ambaye NI mtoto wako
Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.
 
Hapana ni SAHIHI [emoji817].mtoto wako NI mzazi wako.ndo maana Bibi na Babu na wajukuu zao wanapendana sana Sababu NI version zao za 2.
kuna vitu baba yako hawezi kukueleza ila anaweza kumwambia mjukuu wake ambaye NI mtoto wako
Kwa hiyo ukiwa na watoto 10, hao wote ni baba zako na mama zako ?... Kazi kweli kweli.... anyway kila mmoja ashike lake.
 
Kwa hiyo ukiwa na watoto 10, hao wote ni baba zako na mama zako ?... Kazi kweli kweli.... anyway kila mmoja ashike lake.
sio kumi tu.hata uwe na watoto billion 10 no baba zako na mama zako.
Na hata wazazi wako wanajua hivyo.ndo maana mama yako anamuita mtoto wako wa kiume MMEWE na baba yako anamuita mtoto wako wa kike MKEWE.
Umezaliwa dunia gani?
 
Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.
Kwa imani yangu kosa kumuita 'mama' mke wangu tu maana hapo nishaharamisha ndoa yangu kwa kummithilisha mke na mzazi wangu. Tofauti na hapo hakuna kosa kumuita binti yangu mama.
 
Back
Top Bottom