Kosa kubwa sana,wengine eti mke wake anamuita mama ina maana when you fvck ya wife you fvck ya mamaMwanangu wa kike namuita mama, haimaniishi anaweza kunizaa.
Mama ni jina la heshima tu kwa jinsia ya kike.
Kauli za kujipendekezsmwanamke yeyote anayekuzidi cheo,mamlaka au biashara ni mama
mzee mwinyi.
mwinyi mzee rais mstaafu mwenye mtoto rais anajipendekeza kwa samia😢😢😢.Kauli za kujipendekezs
Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.Mwanangu wa kike namuita mama, haimaniishi anaweza kunizaa.
Mama ni jina la heshima tu kwa jinsia ya kike.
Kauli za kisiasa tu hizo, hazina uhalisia kabisamwanamke yeyote anayekuzidi cheo,mamlaka au biashara ni mama
mzee mwinyi.
mama ni cheo cha heshima kwa mwanamke.kwa sababu mwanamke yeyote kimaumbile ana uwezo wa kuzaa toto kubwa shababi kukuzidi,so ukimheshimu ukamwita mama ni jambo zuri sana.Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.
inawezakuwa haina mvuto kumwita demu wako au mkeo mama,ila binti yako sio ishu ndio maama wengine wanawapa majina ya mama zao wazazi.Kama Baba na mama nyumbani wanaitana "baby" usishangae zee zima likamuita binti yake mama.
Ofcoz na bila kujipendekeza huseni mwanae asingekuwa rais zenji,wala adingepewa zawadi ya benzimwinyi mzee rais mstaafu mwenye mtoto rais anajipendekeza kwa samia😢😢😢.
mwinyi jr kawa rais 2020,kauli hiyo mwinyi sr ameitoa siku ya msiba wa jpm.Ofcoz na bila kujipendekeza huseni mwanae asingekuwa rais zenji,wala adingepewa zawadi ya benzi
Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.
Kwa hiyo ukiwa na watoto 10, hao wote ni baba zako na mama zako ?... Kazi kweli kweli.... anyway kila mmoja ashike lake.Hapana ni SAHIHI [emoji817].mtoto wako NI mzazi wako.ndo maana Bibi na Babu na wajukuu zao wanapendana sana Sababu NI version zao za 2.
kuna vitu baba yako hawezi kukueleza ila anaweza kumwambia mjukuu wake ambaye NI mtoto wako
sio kumi tu.hata uwe na watoto billion 10 no baba zako na mama zako.Kwa hiyo ukiwa na watoto 10, hao wote ni baba zako na mama zako ?... Kazi kweli kweli.... anyway kila mmoja ashike lake.
Kwa imani yangu kosa kumuita 'mama' mke wangu tu maana hapo nishaharamisha ndoa yangu kwa kummithilisha mke na mzazi wangu. Tofauti na hapo hakuna kosa kumuita binti yangu mama.Unakosea, acha hiyo tabia huyo ni mwanao tu.
Kosa kubwa sana,wengine eti mke wake anamuita mama ina maana when you fvck ya wife you fvck ya mama
Kwa imani yangu kosa kumuita 'mama' mke wangu tu maana hapo nishaharamisha ndoa yangu kwa kummithilisha mke na mzazi wangu. Tofauti na hapo hakuna kosa kumuita binti yangu mama.