MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakuu kuna kitu kimekuwa kikinikera mno na kunishangaza, naona leo nikiweke hadharani. Kuna hawa viumbe wanaojiita Life Coach wamezidi kuongezeka sana town. Kimsingi ni Motivational Speakers ambao kwa sababu wanazozijua wao wameamua kujipa vyeo kwamba ni makocha wa maisha.
Najiuliza maswali mengi sana; kama sisi wote tumezaliwa na hapa duniani na kuanza kuishi tukijifunza kila siku kuhusu dunia, sasa hawa wenzetu walienda chuo gani kujifunza zaidi na kuwa mbele yetu kiasi cha kujikuta wamekuwa Life coaches?
Cha kushangaza hawa watu wamekuwa mstari wa mbele kujifanya kujua kila fani na kutoa ushauri huku wao binafsi wakiishi maisha ya kawaida na kuendelea tu kupigika kama sisi sote.
Mimi ninashauri hawa Motivational Speakers wasijiite Life Coach maana inatia hasira sana.
Najiuliza maswali mengi sana; kama sisi wote tumezaliwa na hapa duniani na kuanza kuishi tukijifunza kila siku kuhusu dunia, sasa hawa wenzetu walienda chuo gani kujifunza zaidi na kuwa mbele yetu kiasi cha kujikuta wamekuwa Life coaches?
Cha kushangaza hawa watu wamekuwa mstari wa mbele kujifanya kujua kila fani na kutoa ushauri huku wao binafsi wakiishi maisha ya kawaida na kuendelea tu kupigika kama sisi sote.
Mimi ninashauri hawa Motivational Speakers wasijiite Life Coach maana inatia hasira sana.