Sisi Yanga suala la Morrison tutakufa na Mtu

Kuna mwingine Zambia Kama triple C tumfuate!?
Triple C hana soko Zambia. Ni star Bongo kama Okwi. Wakienda kwenye mpira wenye nidhamu wanachemsha. Bongo wanalelewa ni wafalme. Hata akichelewa ni poa tu.
 
Simba hii wenzetu hawana mchezo. Sisi morrison anatugeuza geuza tu

Triple C hana soko Zambia. Ni star Bongo kama Okwi. Wakienda kwenye mpira wenye nidhamu wanachemsha. Bongo wanalelewa ni wafalme. Hata akichelewa ni poa tu.
 
Wewe siyo Yanga
 
Triple C hana soko Zambia. Ni star Bongo kama Okwi. Wakienda kwenye mpira wenye nidhamu wanachemsha. Bongo wanalelewa ni wafalme. Hata akichelewa ni poa tu.
Huwa wakiitwa timu zao za Taifa wanaitwa kuwa Madaktari wa timu au !?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…