Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Tumeonewa sana, tumenyanyaswa sana,tumeumizwa sana,tumehuzunishwa sana.
Huyu dogo ni sisi tumemjenga na siku ile ya simba alibebeshwa hirizi ndo kufunga.leo hii anajiona yeye ndo yeye anatunyanyasa na kutufanya wote tuonekane ndula tu utopolo? Huyu bwana mdogo hajaifahamu yanga.
kuna watu wanamtia ujinga anaanza kuota mapembe....yanga kaikuta na ataicha angekuwa mchezaji mzuri angekuja sajiliwa huku uswazi?bwege kabisa nyau mbwa kokoliko huyu.
Sisi tumemjenga naye amejengeka sasa anataka kutupanda vichwani? Mimi nasema sisi wanayanga hatutaliacha hili lipite tu.tutalia mpaka kufa na mtu.
Huyu dogo ni sisi tumemjenga na siku ile ya simba alibebeshwa hirizi ndo kufunga.leo hii anajiona yeye ndo yeye anatunyanyasa na kutufanya wote tuonekane ndula tu utopolo? Huyu bwana mdogo hajaifahamu yanga.
kuna watu wanamtia ujinga anaanza kuota mapembe....yanga kaikuta na ataicha angekuwa mchezaji mzuri angekuja sajiliwa huku uswazi?bwege kabisa nyau mbwa kokoliko huyu.
Sisi tumemjenga naye amejengeka sasa anataka kutupanda vichwani? Mimi nasema sisi wanayanga hatutaliacha hili lipite tu.tutalia mpaka kufa na mtu.