Sisi Yanga tumewazidi pakubwa sana Simba. Hasa upande wa Media na Waandishi

Sisi Yanga tumewazidi pakubwa sana Simba. Hasa upande wa Media na Waandishi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Yanga hamutaiweza nyie mikia. Yanga inawekeza pia kwa Media sana tu toka enzi za Mwanaspoti, Dimba, Magazeti kama Mwananchi n.k tuna fungu la kutosha tu.

Ukija kwa vyombo vya habari kama Radios. Hamtuwezi. Mkienda Wasafi, Clouds, TBC, Radio one, EFM huko kote tumekamata waandishi. Uwezo wa kuwalipa tunao hata wachambuzi pia.

Kifupi mikia hamtuwezi sisi kwa propaganda tunajua kutumia waandishi.

Mikia hamna kitu. Tunawapiga gap pakubwa. Ngoja muone jersey zetu ambavyo zitasifiwa kuliko zenu zile upupu.

Sisi hata tukiandaa magunia tukawaambia wachambuzi, watangazaji au waandishi waziuze watauza sana.
 
Takwimu ziko wapi we Chura
 
Simba S.C ndiyo timu yenye followers wengi kwenye social media kuliko timu yoyote

Afrika mashariki.

Afrika ya kati.

Afrika ya magharibi.

Juan infantino raisi wa FIFA hapa tanzania timu pekee anayoifahamu ni SIMBA tu timu nyingine ambazo hazina viwanja vya kufanyia mazoezi wala pa kulala hazijui.
 
Mwandiko huu ni WA kike
Kolo katika Moja na mbili
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Back
Top Bottom