damian marijani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2010
- 695
- 466
Kabla sijakushauri ningependa kujua kama una haja ya kuongeza uzito,kupunguza au kumentaini maana unaweza kutibiwa kukosa hamu ya kula wakati hiyo ndio tiba stahili. Kuna watu wanahangaika na kutumia madawa ghali ili kupunguza hamu ya kula.