KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
- Thread starter
- #81
Ndio mkuu mimi mifupa ndo mizitoKilo 66!
Mimi nimepoteza hamu ya kula tangu 2012 baada ya sherehe ya kidato cha sita, tangu hapo sina hamu ya kula na uzito wangu ni kg 55
Ila sahv najitaidi kujilazmisha kula naona progress