Sister Fey dish limeyumba na anahitaji msaada? Wako wapi ndugu zake?

Sister Fey dish limeyumba na anahitaji msaada? Wako wapi ndugu zake?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Goo morning wana Jf!
Watanzania huwa tunatabia ya kuwaongezea ugonjwa wagonjwa..Yaani mtu anaweza akawa anaugua kabisa na dalili zote tunaziona lakini ndio kwanza tunaendelea kumgeuza kiburudisho au kivutio..

Huyu Mama anaye jiita Sister Fei ni mgonjwa kabisa na ana hitaji msaada kabisa na kinacho shangaza badala ya kumsaidia watu wana mgeuza kivutio au kituko...Bado najiuliza watoto wa huyu Mama wako wapi kumsaidia Mama yao hata kumpeleka hospitali?
Ndugu wa huyu Mama wako wapi kumsaidia ndugu yao anaugua kabisa?
Ndugu wa huyu kijana anayeonekana na mgonjwa wako wapi kumshauri wampeleke hospitali?
Wazazi wa huyu kijana wako wapi?

Huyu Mama anahitaji msaada asaidiwe haraka.

Muda huongea lakini ukweli ni kwamba huyu Mama anaumwa kabisa ni muda utathibitisha...
Screenshot_2018-08-26-07-05-49.jpg
Screenshot_2018-08-26-07-04-06.jpg
Screenshot_2018-08-26-07-03-40.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli huyu dada simuelewi kabisa kabisa ,sijawahi kuona mwanamke asiyejitambua kama huyu ,ila subiri huyu dogo apate kaumaarufu kidogo tu mjini ,fey ataaibika mpaka basi.Dogo atapata madogo wenzie muda ni mwalimu mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naamini anaumwa kabisa sema kwa sasa wengi watadhani ni mahaba
 
Goo morning wana Jf!
Watanzania huwa tunatabia ya kuwaongezea ugonjwa wagonjwa..Yaani mtu anaweza akawa anaugua kabisa na dalili zote tunaziona lakini ndio kwanza tunaendelea kumgeuza kiburudisho au kivutio..

Huyu Mama anaye jiita Sister Fei ni mgonjwa kabisa na ana hitaji msaada kabisa na kinacho shangaza badala ya kumsaidia watu wana mgeuza kivutio au kituko...Bado najiuliza watoto wa huyu Mama wako wapi kumsaidia Mama yao hata kumpeleka hospitali?
Ndugu wa huyu Mama wako wapi kumsaidia ndugu yao anaugua kabisa?
Ndugu wa huyu kijana anayeonekana na mgonjwa wako wapi kumshauri wampeleke hospitali?
Wazazi wa huyu kijana wako wapi?

Huyu Mama anahitaji msaada asaidiwe haraka.

Muda huongea lakini ukweli ni kwamba huyu Mama anaumwa kabisa ni muda utathibitisha...View attachment 847756View attachment 847757View attachment 847758

Sent using Jamii Forums mobile app

Wew unapimaga madishi?Mbona lako limeanguka hatusemi...


Mwenzio hiyo ndo kazi yake wew unapata wivu...(kuwa makini wanaume hawako namna hii)
 
Goo morning wana Jf!
Watanzania huwa tunatabia ya kuwaongezea ugonjwa wagonjwa..Yaani mtu anaweza akawa anaugua kabisa na dalili zote tunaziona lakini ndio kwanza tunaendelea kumgeuza kiburudisho au kivutio..

Huyu Mama anaye jiita Sister Fei ni mgonjwa kabisa na ana hitaji msaada kabisa na kinacho shangaza badala ya kumsaidia watu wana mgeuza kivutio au kituko...Bado najiuliza watoto wa huyu Mama wako wapi kumsaidia Mama yao hata kumpeleka hospitali?
Ndugu wa huyu Mama wako wapi kumsaidia ndugu yao anaugua kabisa?
Ndugu wa huyu kijana anayeonekana na mgonjwa wako wapi kumshauri wampeleke hospitali?
Wazazi wa huyu kijana wako wapi?

Huyu Mama anahitaji msaada asaidiwe haraka.

Muda huongea lakini ukweli ni kwamba huyu Mama anaumwa kabisa ni muda utathibitisha...View attachment 847756View attachment 847757View attachment 847758

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapendezea sana ukijikita kwenye hizi mada za udaku!! Doh ndo unatumia simu cheap kiasi hiko? Hizi nguvu unazotumia kuwafwatilia akina fei uzitumie kutengeneza maisha yako we changuu
 
Back
Top Bottom