Sisu ni moja Movie Bora 2023

Sisu ni moja Movie Bora 2023

Lungutz1

Member
Joined
Jun 23, 2023
Posts
37
Reaction score
74
Ni bonge moja la movie kwa mwaka huu 2023, nimeipa namba 1, nairudia mara zote nikiimiss. Wenzentu wanajua kuigiza na kuandaa movie, hilo halina ubishi.

Huyo Sisu ni mwanaume mmoja hivi mtu mzima sana amefanya action unbelievable, ana roho ngumu sana ya kukataa kifo, pamoja na kukutana na watu makatili sana na wauaji ila yeye bado anapata nafasi ya kuishi licha ya kupaniwa sana.

Kibao kinawageukia wanajeshi wa Kijerumani wanapigika kama watoto wadogo, huyo ndio Sisu. Hii movie inatufundisha kuwa tusiwachukulie poa watu kutokana na muonekano wao.

Ila nikaenda mbali na kujiuliza sisi wabongo tunakwama wapi, hata sijapata jibu zuri.

Screenshot_20230623_194715_VLC.jpg
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
 
Unajua movie za namna hii yaani Block Busters za Badass Guy au kwa kiswahili zinaitwa Jeshi la mtu m'moja huwa zinataka kuzingatia sana technicalities za uhalisia kwa miaka hii.

One thing is hauwezi kufake reality sababu kuna kanuni za asili za kifizikia lazima uziheshimu katika kutengeneza scenes za movie yako ziwe na uwiano wa ukweli na uhalisia.

Mimi nitakupa aina za movies za Bad Ass Guy au Jeshi la mtu m'moja ambazo zitaendelea kubakia kuwa 9/10 katika scale ya kurespect na kureflect reality.

1. NO BODY
2. Operation Fortune Ruse De Guerre
3. Katafute zile za Rambo(one hadi hii six nadhani)
4. Extraction
5. The Equalizer


Hizi ni chache tu, ni movie ambazo wameugeuza uongo kuwa ukweli kisayansi kwa kutengeneza mbinu za kijajusi kuweza kukushawishi kuwa mtu m'moja aliyezungukwa na kundi la maadui anafanikiwa kuwachakaza na kuondoka mzima. Cha zaidi wanakupa true definition ya komando hatari.

Sasa wewe unakuja na Sisu hapa unasema ndio movie hatari, hatari ya wapi wakati ni bongo movie iliyochangamka, ndio maana siku hizi movie za hovyo sana kwenye eneo la action ndizo zinapewa tuzo sababu ya madirector uchwara ndio wameshika hatamu. Hamna kitu pale bana tusidanganyane. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ile SISU ni bongo movie ya ulaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
Nimekuelewa sana... Me nimependa zaidi ile roho ya paka na ile spirit ya kuto kukata tamaa, japo madhaifu hayo unayosema nimeyaona.. Mfano pale yupo juu ya farasi ambaye anakanyaga bomu la ardhini alafu bomu lilipo lipuka yeye akasalia salama hajavunjika hata mkono ila farasi kakatika vipande vipande[emoji23][emoji23] ila pamoja na uongo ule, bongo movie wakasome. Bado sana
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
MImi nilipochoka eti jamaa alinyongwa ila hakufa na aka kaaa kwenye kitanzi usiku mzima bila kufa
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
Umechambua vizuri.
Kuna sehemu anajikinga na risasi kwa kutumia kibati flani kama mfuniko wa jana.

Kwa maoni yangu hii movie imetangazwa sana halafu ni kwa kipindi Sasa hatujapata movie Kali ndiyo maana watu wanaipenda pasi kujaji vitu vingi.
If I am to rate it naipa 6/10
 
John wick guns nyingi halafu impacts za gun ni chache. John wick chapter tuu ninayo mpka Leo lakini hii siioni ikidumi ktk storage yangu
 
Nimekuelewa sana... Me nimependa zaidi ile roho ya paka na ile spirit ya kuto kukata tamaa, japo madhaifu hayo unayosema nimeyaona.. Mfano pale yupo juu ya farasi ambaye anakanyaga bomu la ardhini alafu bomu lilipo lipuka yeye akasalia salama hajavunjika hata mkono ila farasi kakatika vipande vipande[emoji23][emoji23] ila pamoja na uongo ule, bongo movie wakasome. Bado sana
Hebu jiulize inawezekanaje kama sio Director analeta ubongo movie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umechambua vizuri.
Kuna sehemu anajikinga na risasi kwa kutumia kibati flani kama mfuniko wa jana.

Kwa maoni yangu hii movie imetangazwa sana halafu ni kwa kipindi Sasa hatujapata movie Kali ndiyo maana watu wanaipenda pasi kujaji vitu vingi.
If I am to rate it naipa 6/10
Hebu jiulize kile kibati kimetengenezwa kwa madini gani hayo hadi hakipitishi marisasi zaidi ya elfu tano jamaa alichapwa nayo. Inamaana jamaa walikuwa wanalenga lile bati tu miguu hawaoni? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi John wick4 ndo haifai hata kidogo[emoji706]
Nasikia nayo sound nyingi sana. Ila wakitaka John wick at least iwe na mvuto mule wamuweke mojawapo kati ya hawa acheze role ya John wick,wampe aidha Jason Statham, Michael Jai white, Idris Elba, Chris Hemsworth, Ryan Gosling, Chris Evans, Liam Neeson, Ryan Reynolds kwa kutaja wachache tu maana hawa jamaa wakipewa role za kuwa jeshi la mtu m'moja huwa hawachemki.
 
Back
Top Bottom