Sisu ni moja Movie Bora 2023

Sisu ni moja Movie Bora 2023

Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
We mkali, nimeangalia movie yote kupitia analysis yako hapa 🫡
 
Extraction II Ni safi sana ila Fast X [emoji41] aaah pale wamekata viuno yaani unaangalia mpaka unasema eeh hapa wameniongopea
Kwa huu mwaka movie ya uongo zaidi ni
1. John wick aka John walker
2. Fast x
3. Extraction 2
4. Sisu
At least hizo mbili za mwisho kidogo ila hizo franchise mbili za mwanzo miyeyusho kama wahindi. Madirector WA Hollywood now wamechoka wanaharibu sana hizi movies kama Terminator ilitakiwa niishie ya T2 but tamaa ya pesa wameharibu sana. Hata hii extraction waishie hii ya 2 maana ya 3 itakuwa upuuzi kama John wick.
Wanieletee MADAGASCAR Nimemiss sana mwanangu KING JULIEN
 
Hata john wick mpya sijaelewa eti mtu anapigwa risasi anazuia kwa mkono really?
 
Kuna wakati ktk movie waandishi wa story wanaishiwa...hivyo wanauzia jina la franchise na siyo content...hii imeikumba Fast and furious, expandables, prison break, escape plan, terminators, Avator na Sasa tumeona John Wick. Afadhari avators wao wametoa movie wakiitafutia njia nyingine yaani kisa kilifika mwisho hivyo inabidi watafute visa vingine na movie ikavutia ktk mambo ya nature na viumbe bahati Sasa wick ni marisasi mengi yasioendana na kisa yaani ile scene ya ktk ngazi ni ndeefu na haina reality yoyyte...kumuweka mtu kipofu Yen halafu hana uhalisia wa kipofu yaani wametupoga kama DP world tuuu
John wick bora angeendea kucheza matrix tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna wakati ktk movie waandishi wa story wanaishiwa...hivyo wanauzia jina la franchise na siyo content...hii imeikumba Fast and furious, expandables, prison break, escape plan, terminators, Avator na Sasa tumeona John Wick. Afadhari avators wao wametoa movie wakiitafutia njia nyingine yaani kisa kilifika mwisho hivyo inabidi watafute visa vingine na movie ikavutia ktk mambo ya nature na viumbe bahati Sasa wick ni marisasi mengi yasioendana na kisa yaani ile scene ya ktk ngazi ni ndeefu na haina reality yoyyte...kumuweka mtu kipofu Yen halafu hana uhalisia wa kipofu yaani wametupoga kama DP world tuuu
Eti Kipofu anakwepa risasi[emoji1787][emoji1787]
 
Kwa huu mwaka movie ya uongo zaidi ni
1. John wick aka John walker
2. Fast x
3. Extraction 2
4. Sisu
At least hizo mbili za mwisho kidogo ila hizo franchise mbili za mwanzo miyeyusho kama wahindi. Madirector WA Hollywood now wamechoka wanaharibu sana hizi movies kama Terminator ilitakiwa niishie ya T2 but tamaa ya pesa wameharibu sana. Hata hii extraction waishie hii ya 2 maana ya 3 itakuwa upuuzi kama John wick.
Wanieletee MADAGASCAR Nimemiss sana mwanangu KING JULIEN
Terminator 1-3 ziko fire ila baada y hapo takataka
 
Kwa huu mwaka movie ya uongo zaidi ni
1. John wick aka John walker
2. Fast x
3. Extraction 2
4. Sisu
At least hizo mbili za mwisho kidogo ila hizo franchise mbili za mwanzo miyeyusho kama wahindi. Madirector WA Hollywood now wamechoka wanaharibu sana hizi movies kama Terminator ilitakiwa niishie ya T2 but tamaa ya pesa wameharibu sana. Hata hii extraction waishie hii ya 2 maana ya 3 itakuwa upuuzi kama John wick.
Wanieletee MADAGASCAR Nimemiss sana mwanangu KING JULIEN
Bora ya Extraction 2 ,john wick kachemsha sana [emoji1][emoji1][emoji1]

Ila wenzetu ndo wanauza hadi basi ,sisi tupige kelele tu huku na hali wao wanakenua tu


Jambo la muhimu ni kwamba,hizi ni muvi na mkitaka kuangalia reality basi katazameni taarifa za habari ,CNN,TBC ,ITV nk
 
Kwa huu mwaka movie ya uongo zaidi ni
1. John wick aka John walker
2. Fast x
3. Extraction 2
4. Sisu
At least hizo mbili za mwisho kidogo ila hizo franchise mbili za mwanzo miyeyusho kama wahindi. Madirector WA Hollywood now wamechoka wanaharibu sana hizi movies kama Terminator ilitakiwa niishie ya T2 but tamaa ya pesa wameharibu sana. Hata hii extraction waishie hii ya 2 maana ya 3 itakuwa upuuzi kama John wick.
Wanieletee MADAGASCAR Nimemiss sana mwanangu KING JULIEN
Extraction haiwezi kuishia mbili sabb story yake ni simple sana Tyler anafanya kazi kwa kulipwa pesa kuwakomboa au kuwatoa watu kutoka eneo moja kwenda jingine, na story kama hizo zipo nyingi sana shida itakuja kwenye action tuuh je zitakua na Uharisia au na wao wataanza kuleta mambo ya magari kupaa angani kama FAST X
 
Hata john wick mpya sijaelewa eti mtu anapigwa risasi anazuia kwa mkono really?
Suti wanazovaa ni bulletproof ukiangalia kuanzia ya 1 ndo utaelewa kwanin suti zao haziingizi risasi, so anachofanya John wick ni kukinga uso na kichwa
 
Lakini jamani katika ile movie yule mzee walisema alikua ni commando.,na walikua wanamuita immortal..yaani huwa hakubali kufa kirahisi.
 
Ma director na ma editor wa SISU ndio hawa tunaowaona kwenye Jua Kali. Kwa hiyo msishangae kabisa
 
Lakini jamani katika ile movie yule mzee walisema alikua ni commando.,na walikua wanamuita immortal..yaani huwa hakubali kufa kirahisi.
Hata kama hakubali kufa ila kuna muda uongo mwingine lazima uukatae. Yan mtu ana majeraha ya risasi tena mguuni halafu anakimbia kama hna jeraha lolote
 
Lakini jamani katika ile movie yule mzee walisema alikua ni commando.,na walikua wanamuita immortal..yaani huwa hakubali kufa kirahisi.
Hakuna mtu anakataa kufa, mtu anauwawa. Hiyo filamu ilikuwa too much. Walizidisha ikakosa uhalisia. Raha ya kutazama filamu ni ujisahau kuwa hiyo ni filamu. Kuwe na uhalisia na ndo wenzetu walipotuzidi maarifa ya uandaaji wa filamu. Sasa ile ilizidi mpaka ikapoteza uhalisia.

Kwamba unyongwe uning'inie dk zote zile usife sababu umekataa? Au farasi wako akanyage bomu limlipukie achanike chanike kila kipande kiruke upande wake halafu wewe usife sababu umekataa? Kwamba utumie sururu kudandia ndege huko hewani na sururu hilo hilo ulitumie kukata bati la ndege ili uingie upepo usikuue wala usidondoke sababu umekataa?
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
kuna mdau ana channel ya kuitwa CinemaSins, ana discuss flaws za movies
very entertaining 😀
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
Unajua movie za namna hii yaani Block Busters za Badass Guy au kwa kiswahili zinaitwa Jeshi la mtu m'moja huwa zinataka kuzingatia sana technicalities za uhalisia kwa miaka hii.

One thing is hauwezi kufake reality sababu kuna kanuni za asili za kifizikia lazima uziheshimu katika kutengeneza scenes za movie yako ziwe na uwiano wa ukweli na uhalisia.

Mimi nitakupa aina za movies za Bad Ass Guy au Jeshi la mtu m'moja ambazo zitaendelea kubakia kuwa 9/10 katika scale ya kurespect na kureflect reality.

1. NO BODY
2. Operation Fortune Ruse De Guerre
3. Katafute zile za Rambo(one hadi hii six nadhani)
4. Extraction
5. The Equalizer


Hizi ni chache tu, ni movie ambazo wameugeuza uongo kuwa ukweli kisayansi kwa kutengeneza mbinu za kijajusi kuweza kukushawishi kuwa mtu m'moja aliyezungukwa na kundi la maadui anafanikiwa kuwachakaza na kuondoka mzima. Cha zaidi wanakupa true definition ya komando hatari.

Sasa wewe unakuja na Sisu hapa unasema ndio movie hatari, hatari ya wapi wakati ni bongo movie iliyochangamka, ndio maana siku hizi movie za hovyo sana kwenye eneo la action ndizo zinapewa tuzo sababu ya madirector uchwara ndio wameshika hatamu. Hamna kitu pale bana tusidanganyane. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ile SISU ni bongo movie ya ulaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kizuri kizuri tu
Movie ni kali
Kama utakuwa unakosoa movie kwa mtindo huo basi movie zote ni mbaya.
Kwanza unatakiwa ujue maana ya "SISU" alafu uelewe story vizuri.

Aatam ni commando mstaafu alipigana vita miaka ya nyuma na alipoteza familia yake. Ogopa kupambana na mtu asiye na cha kupoteza ni kama unapambana na mzimu.

Unachokosoa hakina mashiko, kiuhalisia kwa maisha tu ya kawaida kuna watu wameshashambuliwa na risasi nyingi lakini waliweza Ku survive. Kuhusu farasi kukanyaga bomu la ardhino na kufa Ila Aatam hakufa hiyo haishangazi kwani kuna wanajeshi wanaenda vitani na ankanyaga bomu na anashia kupoteza mguu tu ila ana survive

Kiufupi ni kwamba hii niburudani na hichi kilichopo kwenye hii filamu ni burudani moja nzuri sana

Hata hiyo extraction unayoisifia kweli ni nzuri ila haiwezi kuifikia SISU
 
Mwishoni mwa 1944 wakati wa Vita vya Lapland, Aatami Korpi anaishi peke yake na farasi wake na Bedlington Terrier mwaminifu huku akitarajia katika nyika ya Lapland. Baada ya kufichua amana nyingi za dhahabu, anakusanya kiasi kikubwa cha nuggets kabla ya kuelekea Rovaniemi.

Njiani, Aatami anakutana na kikosi kikubwa cha Waffen SS kikiongozwa na SS Obersturmführer katili Bruno Helldorf, ambao wanaharibu vijiji wakati wa mafungo yao kuelekea Norway na wamechukua wanawake kadhaa wa Kifini mateka. Helldorf hajapendezwa sana na Aatami, akimruhusu kupita. Upesi Aatami aandamwa na kundi la pili la askari wanaogundua mikoba yake iliyojaa dhahabu na kujitayarisha kumuua, lakini anawaua wote upesi. Akionywa na milio ya risasi, Helldorf anachunguza na kugundua mauaji hayo na mojawapo ya vijiti vya dhahabu vya Aatami.

Helldorf na tanki lake wanafuata Aatami hadi ukingo wa uwanja wa kuchimba mabomu, ambapo farasi wa Aatami anauawa na bomu la ardhini. Akikusanya dhahabu yake, Aatami analipua mgodi mwingine kwa makusudi ili kutoroka. Wanajeshi kadhaa wanatumwa kumfuata lakini wanalipuliwa haraka na migodi kwa hivyo Helldorf anaamuru wanawake wawili waliotekwa mbele kuhakikisha njia safi.

Baada ya kurejesha lebo ya mbwa wa Aatami, kamanda wa pili wa Helldorf Wolf anajifunza kupitia redio kuhusu siku za nyuma za Aatami. Baada ya kupoteza familia yake wakati akipigana kama komando wakati wa Vita vya Majira ya baridi, Aatami mwenye kulipiza kisasi akawa "kikosi cha kifo cha mtu mmoja" kilichoitwa jina la utani la Koschei ("The Immortal"). Helldorf anakaidi maagizo yake ya kuendelea kurudi nyuma ili aweze kuwinda Aatami na kuchukua dhahabu.

Wanajeshi wa Ujerumani hutuma mbwa kufuata mkondo wa Aatami. Aatami anampeleka mbwa wake mwenyewe kabla ya kutumia petroli kutoka kwa lori moja la Ujerumani kufunika harufu yake. Hata hivyo, upesi askari walimgundua, na Aatami anapiga mbizi katika ziwa lililo karibu.

Helldorf anatuma askari watatu kwenye ziwa kwa mashua, lakini Aatami anawaua wawili wao kwa kuwakata koo zao chini ya maji na kupumua hewa inayotoka kwenye shingo zao. Askari aliyebaki wa Ujerumani anajaribu kukimbia na anauawa na Wolf. Aatami anatumia mwili wa askari kama ngao baada ya kufika ukingo wa mto na kutoroka. Kwa upande mwingine wa mto, mbwa wa Aatami hugunduliwa na Helldorf.

Aatami anagundua kwamba Rovaniemi imeachwa katika magofu yanayowaka moto, na inajificha katika mabaki ya kituo cha mafuta. Helldorf anamtuma mbwa wa Aatami amtafute lakini akiwa na kijiti cha baruti kilichowekwa kwenye kola yake.

Aatami anamuokoa mbwa wake lakini anaangushwa chini baruti inapolipuka. Helldorf, Wolf, na dereva wa tanki Schütze wananing'inia Aatami, akichukua dhahabu na kumwacha akidhania kuwa amekufa, lakini Aatami anaweka majeraha yake kwenye upau wa nyuma unaojitokeza, akiokoa maisha yake. Muda fulani baadaye, jozi ya marubani wa Ujerumani walitua wakitafuta mafuta. Aatami anamuua mhandisi na kumlazimisha rubani aliyesalia kuruka naye mbele ya kikosi cha Helldorf.

Hivi karibuni Helldorf anagundua ndege iliyoachwa kwenye njia yao, na rubani akiwa ametundikwa kwa kitanzi kile kile cha Wolf alichotumiwa kwenye Aatami. Wakati msafara ukiendelea, Aatami anapanda kwenye lori lililowashikilia mateka, na kuwaua walinzi wao, kabla ya kuwapa silaha.

Aino, kiongozi asiye waaminifu wa wanawake hao, aliongoza moja ya lori, akimruhusu Aatami kuruka kwenye tanki la Helldorf huku wanawake wakiwafyatulia risasi wanajeshi wengine. Aatami anamtoa mbwa mwitu nje ya tanki kabla ya kumuacha chini ya huruma ya wanawake. Helldorf aifikia ndege ya Ujerumani na kumuua Schütze kabla ya kuondoka na rubani.

Aatami anaifyatulia risasi ndege hiyo, na kumjeruhi vibaya rubani, na kutumia pikipiki yake kuingia angani. Helldorf na Aatami wanashiriki katika mapigano ya mkono kwa mkono, na baada ya Helldorf kupata ushindi, Aatami anaunganisha kwa haraka laini tuli kwenye bomu kabla ya kuiachia, na kumwangusha Helldorf hadi kufa. Baada ya kugundua kwamba rubani alikuwa amefariki, Aatami anajifunga ndani ndege inapoanguka kwenye kinamasi.

Wakiongozwa na Aino, wanawake walioachiliwa wameiongoza tanki la Ujerumani na kupeleka mbwa mwitu aliyepigwa kwa kitengo cha Kifini kisichoaminika. Aatami anatambaa kutoka kwenye kinamasi na kuungana na mbwa wake kabla ya kuelekea Helsinki iliyoharibiwa na vita. Anaingia kwenye benki, anamwendea mtangazaji na kumwaga sacheli zake za dhahabu kabla ya kuzungumza kwa mara ya kwanza, akiomba bili badala ya dhahabu yake.

#WIKIPEDIA

FB_IMG_1688109783997.jpg
 
Back
Top Bottom