Sisu ni moja Movie Bora 2023

Sisu ni moja Movie Bora 2023

Hizo movie za kimarekani huwa wanazipatia airtime na promo nyingi mno ili zisemwe sana ila sisu kazibaka mdogo mdogo bila promo....leo ukiweka hapo sisu na extraction ipi movie nitakayo iangalia zaidi ya mara moja, nitairudia sisu zaidi ata ya mara kumi, extraction niliiona mara moja tu nikaachana nayo.
Hahaa.. acha vituko wewe. Mimi SISU nimeiangalia mara moja tu ila hii Extraction nairudia kila baada ya siku kadhaa.
 
Hahaa.. acha vituko wewe. Mimi SISU nimeiangalia mara moja tu ila hii Extraction nairudia kila baada ya siku kadhaa.
Napenda visa vipya siyo visa vya kurudia mule mule yaani huyu katekwa huyu kaokolewa, huyu mchokozi huyu akamuokoa na mapenzi juu, yaani unaangalia movie na wanafamilia roho iko juu juu ukiofia kuna scene ya mapenzi itaonekana humo.
 
Napenda visa vipya siyo visa vya kurudia mule mule yaani huyu katekwa huyu kaokolewa, huyu mchokozi huyu akamuokoa na mapenzi juu, yaani unaangalia movie na wanafamilia roho iko juu juu ukiofia kuna scene ya mapenzi itaonekana humo.
Kumbe bado hujaiangalia Extraction. Mazitafute zote 1&2 utakuja hapa kuniambia.
 
Unajua movie za namna hii yaani Block Busters za Badass Guy au kwa kiswahili zinaitwa Jeshi la mtu m'moja huwa zinataka kuzingatia sana technicalities za uhalisia kwa miaka hii.

One thing is hauwezi kufake reality sababu kuna kanuni za asili za kifizikia lazima uziheshimu katika kutengeneza scenes za movie yako ziwe na uwiano wa ukweli na uhalisia.

Mimi nitakupa aina za movies za Bad Ass Guy au Jeshi la mtu m'moja ambazo zitaendelea kubakia kuwa 9/10 katika scale ya kurespect na kureflect reality.

1. NO BODY
2. Operation Fortune Ruse De Guerre
3. Katafute zile za Rambo(one hadi hii six nadhani)
4. Extraction
5. The Equalizer


Hizi ni chache tu, ni movie ambazo wameugeuza uongo kuwa ukweli kisayansi kwa kutengeneza mbinu za kijajusi kuweza kukushawishi kuwa mtu m'moja aliyezungukwa na kundi la maadui anafanikiwa kuwachakaza na kuondoka mzima. Cha zaidi wanakupa true definition ya komando hatari.

Sasa wewe unakuja na Sisu hapa unasema ndio movie hatari, hatari ya wapi wakati ni bongo movie iliyochangamka, ndio maana siku hizi movie za hovyo sana kwenye eneo la action ndizo zinapewa tuzo sababu ya madirector uchwara ndio wameshika hatamu. Hamna kitu pale bana tusidanganyane. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ile SISU ni bongo movie ya ulaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, yaani unazungumzia Extraction ipi, 1 or 2?

Extraction ya Starring mmoja kupiga jela nzima?

Zote SISU na EXTRACTION zina Uongo mwingi ila SISU inacapture mindset ya movie watchers zaidi

RAMBO ya Sylvester Stallone nzuri ni First Blood ya 1985 & 1988
 
Kabla sijaangalia extraction 2020, nilikuwa nikisikia ikisifiwa sana.
Binafsi huwa sipendi just kuona watu wanapigana tu halafu huelewi wanapigania nini au story yake haieleweki.
Niliipuuzia ile filam kutokana na trailer pia cover photo yake jamaa anaonekana kimapambano nikajua ni mambo yaleyale tu. Ila 2022 baada ya kelele kuwa nyingi nikaona ngoja niitafute.
For me it was among the best i have ever seen na sichoki kuitazama. Ngoja niitafute na hii naona inapigiwa kelele sana.
hii nzuri ila uongo mwingi ila utaipenda
 
Hii movie hata Mimi nimeikubali, nilicheka Sana pale sisu alipomshushia kipondo yule Askari mwenye uchu wa kuuwa.
Screenshot_20230812-075710.jpg
 
Kizuri kizuri tu
Movie ni kali
Kama utakuwa unakosoa movie kwa mtindo huo basi movie zote ni mbaya.
Kwanza unatakiwa ujue maana ya "SISU" alafu uelewe story vizuri.

Aatam ni commando mstaafu alipigana vita miaka ya nyuma na alipoteza familia yake. Ogopa kupambana na mtu asiye na cha kupoteza ni kama unapambana na mzimu.

Unachokosoa hakina mashiko, kiuhalisia kwa maisha tu ya kawaida kuna watu wameshashambuliwa na risasi nyingi lakini waliweza Ku survive. Kuhusu farasi kukanyaga bomu la ardhino na kufa Ila Aatam hakufa hiyo haishangazi kwani kuna wanajeshi wanaenda vitani na ankanyaga bomu na anashia kupoteza mguu tu ila ana survive

Kiufupi ni kwamba hii niburudani na hichi kilichopo kwenye hii filamu ni burudani moja nzuri sana

Hata hiyo extraction unayoisifia kweli ni nzuri ila haiwezi kuifikia SISU
Umemwambia kwamba ogopa sana kupambana na komando tena ukaongezea ambaye hana cha kupoteza je anajua komando ana quality gani au anamjua kupitia movie tu?
 
Kabla sijaangalia extraction 2020, nilikuwa nikisikia ikisifiwa sana.
Binafsi huwa sipendi just kuona watu wanapigana tu halafu huelewi wanapigania nini au story yake haieleweki.
Niliipuuzia ile filam kutokana na trailer pia cover photo yake jamaa anaonekana kimapambano nikajua ni mambo yaleyale tu. Ila 2022 baada ya kelele kuwa nyingi nikaona ngoja niitafute.
For me it was among the best i have ever seen na sichoki kuitazama. Ngoja niitafute na hii naona inapigiwa kelele sana.
Mimi nawaambia ukichoshwa na movie za stori kujirudia itafute hii ni movie inayokupatia ujasiri wa kupambania haki yako kivyovyote vile afe kipa afe beki...😋😋😋
 
Ni bonge moja la movie kwa mwaka huu 2023, nimeipa namba 1, nairudia mara zote nikiimiss. Wenzentu wanajua kuigiza na kuandaa movie, hilo halina ubishi.

Huyo Sisu ni mwanaume mmoja hivi mtu mzima sana amefanya action unbelievable, ana roho ngumu sana ya kukataa kifo, pamoja na kukutana na watu makatili sana na wauaji ila yeye bado anapata nafasi ya kuishi licha ya kupaniwa sana.

Kibao kinawageukia wanajeshi wa Kijerumani wanapigika kama watoto wadogo, huyo ndio Sisu. Hii movie inatufundisha kuwa tusiwachukulie poa watu kutokana na muonekano wao.

Ila nikaenda mbali na kujiuliza sisi wabongo tunakwama wapi, hata sijapata jibu zuri.

View attachment 2667058
Jamaa Lina bahati lilibe hanged lakini likanusulika lilipigwa mabomu likapona yaan Lina roho ya Paka.....
 
Overrated,hamna movie mle(rate4/10)[emoji23][emoji2772]
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director...
Sisu maana yake waliitafsiri ni Ile Hali ya kukosa tumaini, na ukiwa huna Cha kupoteza tena , Kisha unaamua kusonga mbele kwenye lengo lako. Ukiwa huna Cha kupoteza, bhasi unaweza kufanya mambo ya ajabu makubwa yasiyo ya kawaida .

Wale wadada kwenye gari mmoja alisema kuwa yule ni binadam wa kawaida kabisa ila amepoteza kilakitu vitani, na sasa amerudi kwaajili ya kuwafyeka wote.

Possibility ya kupona katikati ya shida ngumu Huwa ipo, na hasa ikitegemea utimamu wa akili na moyo.

Na hivyo ndivyo makomando wamefunzwa.. na kujitofautisha na wanajeshi wengine.

Wapo watu wamepona kwenye mazingira magumu ambayo katika Hali ya kawaida haiwezekan lakini wakati mwingine Sheria ya asili, huamua kuwa UPANDE wa mtu kunusuri maisha yake , na hapo ndipp nafasi ya MUNGU , pia hufamya kazi .
 
Ile movie ina mapungufu ambayo yameifanya kuwa ya kishamba wakati ilikuwa ni story nzuri tu ya kikomando. Yaani mimi katika scale ya 1 hadi 10 naipa 2 sababu ya makosa ya kiufundi na kiuhalisia ya director.

1. Kuna ile scene yule Sisu alikuwa na farasi wake kwa bahati mbaya akaingia eneo lenye Mabomu ya ardhini, baada ya wale jamaa kumjia lile eneo moshi ukawa hauishi, sikuelewa kwann director alifanya ule "ubongo movie pale".

Hivi inawezekana kweli watu msimame umbali usiopungua hata mita 10 halafu huyu mtu eneo lake tu ndio limetanda moshi hamuoni kitu chochote na jamaa wanasilaha kali wangeza mlenga na kumaliza kazi?

Kuna kipande anafanikiwa kutoroka anaingia chini ya maji kwenye mto, maadui wakiwa ng'ambo moja anawamaliza kwa kuwavuta ndani ya maji kutokea wao maadui wakiwa wanamfuata ndani ya maji yeye akiwa katulia tu chini anawasubiria.

Kiuhalisia yule jamaa alikuwa anakimbizwa, so mapafu yake yatakuwa yamesuphocate oxygen atakuwa anahitaji kukaa open space yenye hewa safi avute hewa, jamaa kazama chini ya maji, huku mapigo ya moyo yakiwa juu halafu katulia how is that possible, okay tuseme inawezekana sababu alijitrain, haya kuna muda akatoka kwenye maji akajitwisha mwili wa askari aliyeuwawa na yule adui kuu sababu ya kumsaidia kuvuka na boti kwenda ng'ambo ya pili, jamaa ajajitwisha mwili ili kujikinga na risasi ambazo zinamiminwa tokea ng'ambo ya pili na maadui hiyo mashine inayomimina inaweza kuchakaza mti na kuukatilia mbali ila mwamba zile risasi haikumpata hata moja[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni kwenda kinyume na rules of reality kwenye movie.


Kuna kipande baada ya kurudia ile convoy ya maadui, akaanza kuwachomoa askari kutoka katika ile lori anawatupa mbele ya kifaru halafu ni jua linawaka keupe peeee , imagine kifaru kipo nyuma ya lori ina maana waliopo juu ya kifaru na ndani ya kifaru wanaona mbele otherwise kama hawaoni wangegonga lile lori, jamaa alikuwa akiwachomoa kama kuku bandani anawatupa nje yeye akiwa amening'inia wapi sasa kwa wakati huo? Technically huu ni uongo wa bongo movie.

Zile landmines/ bombs zilikuwa zikilipuka yeye hazimdhuru tena amezikanyaga ila maadui anawarushia zinawadhuru, huu ni udirector wa kishamba sana ambao kwa sasa wamebakia nao waindi tu kwenye movies zao.

Ndege inaruka jamaa amepiga sululu moja kakamatia uvunguni anaruka nayo hivi unajua laws of physics ndege ikiwa inapaa halafu ikafika kimo kirefu kama kile mtu akining'inia nje nini kinampata balaa la upepo linavyokua. Halafu ndege inaonekana ishafika juu na imekaa level jamaa ndio anaanza kutoboa kuingia ndani, no evidence of how ila mbwe mbwe tu za akina amita bachan [emoji23][emoji23][emoji23]

Adui mule ndani ameshamcontain yule Sisu cha ajabu anamuangalia wakati angeweza mtia shaba za kichwa show ikaisha ila anapiga ngumi tu na anajua jamaa anaroho ya paka hafi kirahisi.

Hamna kitu pale yaani afadhalia hata na ya John wick mara mbili ningesifia ni movie kali tena sio hiyo Sisu director amepuyanga sana mule.
Movie mbov sana uhalisia zero nimejuta kuitazama
 
Ni nzr hata na mama mkwe mnaangalia na inaeleweka hahaaaa ila kuna uwongo wa mwendo kasi.....Sema nilitokea kuipenda hivyohivyo....nimeirudia zaidi ya mara 2......kuna mahala ati mzee aliingia chini ya gari iliyokuwa kwenye movement ili asionwe na mbwa wa ulinzi,kurukia na kutoboa ndege kwa chini na sururu baadaye anaingia ndani ya ndege......physics yangu ya kayumba na chuo zote zimekataa,....kujiwasha moto akikwepa mbwa kumsogelea kuua wanajeshi akiwa chini ya maji....viko viiiingi nno.
 
Unajua movie za namna hii yaani Block Busters za Badass Guy au kwa kiswahili zinaitwa Jeshi la mtu m'moja huwa zinataka kuzingatia sana technicalities za uhalisia kwa miaka hii.

One thing is hauwezi kufake reality sababu kuna kanuni za asili za kifizikia lazima uziheshimu katika kutengeneza scenes za movie yako ziwe na uwiano wa ukweli na uhalisia.

Mimi nitakupa aina za movies za Bad Ass Guy au Jeshi la mtu m'moja ambazo zitaendelea kubakia kuwa 9/10 katika scale ya kurespect na kureflect reality.

1. NO BODY
2. Operation Fortune Ruse De Guerre
3. Katafute zile za Rambo(one hadi hii six nadhani)
4. Extraction
5. The Equalizer


Hizi ni chache tu, ni movie ambazo wameugeuza uongo kuwa ukweli kisayansi kwa kutengeneza mbinu za kijajusi kuweza kukushawishi kuwa mtu m'moja aliyezungukwa na kundi la maadui anafanikiwa kuwachakaza na kuondoka mzima. Cha zaidi wanakupa true definition ya komando hatari.

Sasa wewe unakuja na Sisu hapa unasema ndio movie hatari, hatari ya wapi wakati ni bongo movie iliyochangamka, ndio maana siku hizi movie za hovyo sana kwenye eneo la action ndizo zinapewa tuzo sababu ya madirector uchwara ndio wameshika hatamu. Hamna kitu pale bana tusidanganyane. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ile SISU ni bongo movie ya ulaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ungezea na Jason Bourne na Wrath of a man
 
Back
Top Bottom