Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Wakuu kwema?
Niliahidi kuendesha shidano la kumsaka mtu mwenye wazo bora kila mwezi na kutoa mtaji mdogo ili tuweze kukwamuana kama vijana.
Niliahidi kuboresha shindano hili aidha kwa kuongeza amount ya mtaji au kuongeza idadi ya washindi. Nilitaka kufanya mchakato huu kuanzia tar 17 this month na uishie tar hishirini na 22 jumapili siku ya jana ambapo ningekabidhi fedha kwa mhusika. But mpaka leo mshindi hajanipa mrejesho hali inayonipa maswali mengi, nahisi kama kanidharau, namba yake ninayo but siwezi kumpigia kumuuliza jambo.
Sijui yuko hai? Sijui hakuwa na lengo la kufanya ujasiriamali? Yawezekana ni mtu anayejiweza kiuchumi ila aliitamani tu ile 50000? Kama atajiyltokeza leo akaleta mrejesho nami nikajiridhisha kuwa hakuna uongo ndani yake basi kesho shindano nitalianzisha.
Kinyume na hapo sitathubutu kutoa msaada wowote kwa mwanaJF. Na nitajitahidi hata mimi nisifikie hatua ya kuomba msaada humu ndani maishani mwangu. Wengi nimewapiga kampani hata text za salamu sizioni.
Niliahidi kuendesha shidano la kumsaka mtu mwenye wazo bora kila mwezi na kutoa mtaji mdogo ili tuweze kukwamuana kama vijana.
Niliahidi kuboresha shindano hili aidha kwa kuongeza amount ya mtaji au kuongeza idadi ya washindi. Nilitaka kufanya mchakato huu kuanzia tar 17 this month na uishie tar hishirini na 22 jumapili siku ya jana ambapo ningekabidhi fedha kwa mhusika. But mpaka leo mshindi hajanipa mrejesho hali inayonipa maswali mengi, nahisi kama kanidharau, namba yake ninayo but siwezi kumpigia kumuuliza jambo.
Sijui yuko hai? Sijui hakuwa na lengo la kufanya ujasiriamali? Yawezekana ni mtu anayejiweza kiuchumi ila aliitamani tu ile 50000? Kama atajiyltokeza leo akaleta mrejesho nami nikajiridhisha kuwa hakuna uongo ndani yake basi kesho shindano nitalianzisha.
Kinyume na hapo sitathubutu kutoa msaada wowote kwa mwanaJF. Na nitajitahidi hata mimi nisifikie hatua ya kuomba msaada humu ndani maishani mwangu. Wengi nimewapiga kampani hata text za salamu sizioni.