nmefanya jokes ila kama mtu nmemkosea anisamehe. sina dada ambaye ni bikra.
ha ha ha in logic, uwe mwanaume kweli (uchumi uwe poa; kifedha,usafiri + nyumba)Sifa ninazo Una mtaji wa biashara?
Wanaume siku hizi wamekua dili sanaNi mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Awe anatafuta nini sasa, mbinyo wa uchumi unatafuta kumpunguzia baba yako bajeti eeh..!Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
KILA KHERI UTAPATA HITAJI LAKO
Wanaume siku hizi wamekua dili sana
Haaaaaa haaaaaaMwenye kujia dawa ya kuongeza urefu please
Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Sidhani kama mleta uzi analijua hiloWote ni Deal.Bila mwanamke huyo Mwanaume atapata vipi mtoto??
Ni science tu imeleta haya.
But wote tunategeana.
Asanteee rafikiMamii utapata.Wengine Wapo kukatisha wenzao tamaa Na kutwa Wapo hapa love connect. huwa najiulizaga kwani majukwaa mengine hawayaoni.
Jf wameweka jukwaa hili kwa kuwa linafaa Na kuna uhitaji Na watu smart wanapata wenza .
Go my Girl.Life is everywhere and with anyone any place .No boundaries.
IPO hivi.Hata wewe unapoenda Kununua Nazi Sokoni .Hununui tu kwa kuwa unanunua bali utakuwa Na choice yako kama iliyokomaaa au ndogo ndogo.Zilizobaki baada ya wewe kuchukua unayopenda haimaanishi hazitapata MTU.Sidhani kama mleta uzi analijua hilo
HahaaaaaaUsiwafuatilize hapo.Wengi humu wanastress za vyeti feki.Ndo anajiliwaza hapa..why MTU Povu likutoke la burebure kwa MTU aliyekuja kutafuta mchumba tena jukwaa sahihi..
Ni sawa a mimi niende Jukwaa la mapishi kumkosoa MTU anayeuliza namna ya kupika Chapati eti kwa kuwa tu Mimi najua that is Ridiculous!
hahahh nshafuta broNgoja nitafute ulichoandika.But you are forgiven.Wewe u mwema.
Hii nafasi yangu kabisa,njoo pm tuyamalize,makanda mkono juu
Baada ya muezi 2 utaondoa hivyo vigezo na utasema yeyote