Kuna watu humu marafiki Zangu sema sio wa Show Off.Asanteee rafiki
I'm Femalehahahh nshafuta bro
Mwenyewe pamenigusa kweli maana nimetoka kuweka bandiko kama hili soon naona na naye kapanda na uzi kama wangu umri ndo unatutenganisha tu
Huwezi pata mwanaume mweusi mwenye hizo vigezo
Wanaisoma nambaaaAiseee wanaume wafupi mnapata taabu sana
Haaa ahaaaaa why
Aiseeeeee kuna Wanaume Magenious .In I think Ndo lengo la Mtoa uzi.Labda aje aturekebisheha ha ha in logic, uwe mwanaume kweli (uchumi uwe poa; kifedha,usafiri + nyumba)
Unajua mwaume mweusi ana sifa za ziada??Mwambie mwenzio ajaribu kisha alete mrejesho.si weupe ndio tunajua
Maanduje wanajua Love sana.Wanaisoma nambaaa
Ndio mtazamo wake huo,bila kujua mwenye sifa hizo tayari kuna mwanamke alishamtengeneza/kumuandaa na leo hii tunamuona amepata mafanikio.Aiseeeeee kuna Wanaume Magenious .In I think Ndo lengo la Mtoa uzi.Labda aje aturekebishe
kisicho chako ni cha mwenzio
Ndio mtazamo wake huo,bila kujua mwenye sifa hizo tayari kuna mwanamke alishamtengeneza/kumuandaa na leo hii tunamuona amepata mafanikio.
Mkuu kaa pembeni