Sitafuti mume ila anayehitaji mke asome

Dah...kitambo sana nipo mpweke...Hadi nikabadili matumizi [emoji41]
 
Na hii imewasababisha wadada wa watu kuchapwachapwa hovyo mwisho wa siku ndoa hakuna;wanafikia kukata tamaa na kuanza kuingia mtandaoni kujaribu bahati.
Hapa nakukataliaaa
Sio wote wanaoingia Mtandaoni walipitia hayo.
Wengine walikuwa Na wenza wachumba wakawafumania.Walifiwa.Kuna mambo mengi sana.
Kumjudge MTU simply umemuona hapa is not right my friend.
Changamoto ni nyingi sana
 
Hapa nakukataliaaa
Sio wote wanaoingia Mtandaoni walipitia hayo.
Wengine walikuwa Na wenza wachumba wakawafumania.Walifiwa.Kuna mambo mengi sana.
Kumjudge MTU simply umemuona hapa is not right my friend.
Changamoto ni nyingi sana
Nakubaliana nawe
 
Awe mkazi wa wapi
 
Jina lako kituna, mm ningependa kujua kilichotuna ni nini?
 
Nyatia kwa mwendo wa taratiiiibu pm.
 
Kituna mumeo niko hapa njoo nakusubili kule makutano junction..!
 
naona uzi mpya umefutwa weka matokea hapa basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…