Sitafuti mume ila anayehitaji mke asome

Sitafuti mume ila anayehitaji mke asome

Ha ha ha ha ni sawa sawa na kuku kaingia jikoni akiwa na manyoya yake....baadaye akatoka jikoni mbioo bila kuwa na manyoya...huko PM kuna nini? bado tu hamjapata?
 
Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume

Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa

Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe

Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike

Karibu inbox
Mie vigezo vyote ninavyo, ila naona kuna vingine nivifanyie amendment kidogo.
(i) Mie ni 5.6ft. So sio mrefu wala mfupi(njoo pm tuyajenge)
(ii)Nimenyimwa urefu wa kwenda juu sana ila kwenda mbele nipo sawa sana(najua umeelewa namaanisha nini, njoo tuyajenge)
 
Babu yangu aliniambia miaka 20 iliyopita kijana usikimbilie mapenzi soma kwanza mapenzi utayakuta na utayakimbia mwenyewe;naona ndoto zimetimia kweli....
 
Back
Top Bottom