Sitaisahau siku lift ya ghorofa ilipofail/kwama katikati ya safari nikiwa peke yangu

duu!!!
 
Mi nlipanda lift Toka magomen had posta we hyo boda inakimbia cjawah ona
 
Kwa wale waliosoma UDSM na kuishi Hall 2 kukwama kwa lifti ilikuwa kawaida sana. Sijui kwa siku hizi
Dah umenikumbusha mbali sana enzi hizo nilikuwa naishi hall 2, floor ya kumi
Nilikwama siku moja, tupo mtu kumi miksa madem wakaanza kuvua nguo dah!(joto kali) halafu ilikuwa kipindi cha test
Ukipiga kelele masela wanakuja wanawauliza mna test?
Ukisema hauna wanakuacha wanakwambia msubiri fundi

Kipindi cha UE ilikuwa marufuku kwangu kupanda lift

Ila afadhali hall 2 ilikuwa ina space unaweza kupumua, hall 5 unaweza ukafa unajiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…