Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sema chama tawala mnajua kuwajibu watu vizuri aiseee,,,mitusi yote wanayotukana ila mnaenda nao vizuri tu[emoji23]
 
Katika yote wanachoniudhi makamanda wenzangu ni pale unapikosoa chama, unaonekana kama kinyesi. Sasa sijui tutawezaje kuongoza serikali ikiwa tu hatutakiwi kukikosoa chama
Kama ccm walivowafukuza akina membe kwa sababu walionyesha nia ya kugombea urais, malizeni ya chumbani kwenu ndio mhamie chumba cha jirani
 
Katika yote wanachoniudhi makamanda wenzangu ni pale unapikosoa chama, unaonekana kama kinyesi. Sasa sijui tutawezaje kuongoza serikali ikiwa tu hatutakiwi kukikosoa chama
Wengi wanaendeshwa na ushabiki wa hovyo Sana,akili wameziweka pembeni
 
Naona ukabila unakutesa sana. Umeishiwa kabisa hoja sasa umeishia kutapatapa!!

Napenda kukwambia huu ndo mwisho wa huyo magufuli wako. Raisi wa Tanzania kuanzia November 2020 ni Tundu Antiphas Lissu!
Hii bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…