Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Inaonekana mimba yako bado changa
 
Mwambie aje....sijawahi kushindwa ngumi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hembu tupieni japo picha za vifua tuone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chadema ni wajinga sana yani kama TCRA wanapo vifungia vyombo vya habari wao wanaleta misemo yao eti wakimalizana na susi...yani maana yake chadema wakishika dola hakuna mwanachadema ambaye atavunja sheria ataguswa!


Na mimi naungana nawe kuwahakikishia hawa kuwa kamwe hawatagusa ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…