Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mwamba anaogopa kulea mtoto si wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Vitoto vilivyovitamu kuviona.....Daaah..... kuwa na watoto raha sana
Ndo iko ivo.Especially nyie huwa mnapenda watoto Sana, mkishazaa huwa mnahamisha attention zote kwa watoto mpaka mnawasahau wanaume waliowazalisha.
Mpaka sasa nina watoto wa 4 na nimeshatamatisha ishu ya kuzaa nikiendelea kuwa hivi kiuchumi ila kama malengo yangu yakafanikiwa ndani ya hii miaka miwili hakyanani naongeza watoto hata wa 3 zaidi.....
Mkuu, kama kiuchumi uko vema, walete madogo duniani.
Ukishafika miaka 55+ ndio utajua depression ipoje while you are alone.Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Sana mkuu hata kama umevurugwa job ukirudi home watoto ni faraja kubwa sanaVitoto vilivyovitamu kuviona.....Daaah..... kuwa na watoto raha sana
Mwenyekiti wa Kataa NdoaSAFI SANA
KATAA NDOA
Wanaotuzalisha ni manesi na wakungaEspecially nyie huwa mnapenda watoto Sana, mkishazaa huwa mnahamisha attention zote kwa watoto mpaka mnawasahau wanaume waliowazalisha.
ujana una mwisho, ..kuna siku utawahitaji tu na kizuri ni kwamba watu wa kalba yako Mungu huwa kawajaalia kuishi maisha marefu,...maji utaita mma😂Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
NDOA NI BIASHARA YA UTUMWAMwenyekiti wa Kataa Ndoa