Sitaki kupata watoto

Sitaki kupata watoto

Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.

I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.

Wazazi wako wangekuwa na mawazo kama yako, muda huu ungekuwa unaswim kwenye testicles za mzee...
 
Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.

I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Ukishafika miaka 55+ ndio utajua depression ipoje while you are alone.
 
Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.

I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
ujana una mwisho, ..kuna siku utawahitaji tu na kizuri ni kwamba watu wa kalba yako Mungu huwa kawajaalia kuishi maisha marefu,...maji utaita mma😂
 
I will live my life, enjoy my money and die slow, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom