Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Sahihi.
Sio lazima kuwa na Watoto.
Sio lazima kuwa na Watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibwagizo Chetu Pendwa Tanzania Na Baadaye Duniani Kote KoteSAFI SANA
KATAA NDOA
Pole sana.Lkn Uzuri,ni Kwamba siku zote,Majuto huwa ni mjukuu.Ngoja ufike uzeeni ndio uje na thread hii.Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
NAKAZIAKibwagizo Chetu Pendwa Tanzania Na Baadaye Duniani Kote Kote
Huyu ni hamnazo.Vipi Baba yako na Mama yako wangekuwa wanafikiria unachowaza leo hii? Au ndio tukuite a "wasted sperm"?.
Haa Zaeni Ndugu ZanguKataa ndoa, ila swala la mtoto that's highest level of selfishness.
Uwa nina imagine wazazi wangu wangesema wanataka mtoto mmoja tu? Mi nisingekuepo. Au wangesemw hawataki watoto.
Mkuu, kama kiuchumi uko vema, walete madogo duniani.
Mzilankende atawasomesha bureHaa Zaeni Ndugu Zangu
Leo Huku Moshi Mlima Hauonekani KabisaNAKAZIA
Haa Amekufa Kamuachia Kibwagizo Hangaya Elimu Bure Hadi Form SixMzilankende atawasomesha bure
Haa Kwahiyo Kojolea Ndani HakunaSahihi.
Sio lazima kuwa na Watoto.
So kwako maisha ni starehe,basi.Dah,hujitambui kabisa.Maisha si starehe,wala kuwa na mali sio issue,maisha ni kutimiza mapenzi ya Mungu hapa duniani(to extend God's Kingdom here on earth),ikiwa ni pamoja na agizo lake la kuijaza Dunia.Mungu ametuagiza hivi,"Nendeni mkaongezeke, muijaze Dunia." What does it mean,kama wewe hutaki kuoa na kuzaa watoto,you are going against God's plan,and there will be consequences.Naomba niseme hivi,sikutishi,lakini that is true,unless you are doing that voluntarily,ili umtumikie Mungu.Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Wengine familia ndo starehe yenyewe,.Maisha si starehe,.
[emoji28][emoji28]itakuwa hujafanya uchunguzi yakinifu katika hiloIko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Una matatizo ya uzazi. Nenda hospital ukatibiwe. Hao wenye watoto na hawana furaha wanapatikana wapi nchi hii?Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.
I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Yesu, paulo, yeremiah walizaa au kuwa na familia???So kwako maisha ni starehe,basi.Dah,hujitambui kabisa.Maisha si starehe,wala kuwa mali,maisha ni kutimiza mapenzi ya Mungu hapa duniani(to extend God's Kingdom here on earth),ikiwa ni pamoja na agizo lake la kuijaza Dunia.Mungu ametuagiza hivi,"Nendeni mkaongezeke muijaze Dunia." What does it mean,kama wewe hutaki kuoa na kuzaa watoto,you are going against God's plan,and there will be consequences.Naomba niseme hivoing that voluntarily,ili umtumikie Mungu.