Mliompigia kura huyo kilaza mumetuweza kweli,Mungu anawaona mjueSasa hivi sitaki kusikia watu wakimlaumu tena mangungu kua hafai kua kiongozi bali nataka kusikia ikilaumiwa safu nzima ya uongozi wa simba na waliomuweka madarakani mangungu kwani kama mangungu angekua hatoshi na hakidhi vigezo asingerudishwa tena madarakani lakini walomchagua nadhani wamezingatia vigezo na masharti tunashukuru uchaguzi bila shaka umepita salama kilichobaki sasa ni viongozi kua na mshikamano na ushirikiano wa pamoja ndani ya club ili muendelee kuipa hadhi na heshima logo ya simba ndani na nje ya mipaka yetu na mufikie malengo mliojiwekea ndani ya club
Kwani yukoje mna ushahidi upi hafai?Mliompigia kura huyo kilaza mumetuweza kweli,Mungu anawaona mjue
Mkuu una acha B20 unaenda wapi?Hii timu imeshakuwa ya kihuni sana.
Unaweza kuta huyo mangungo ameomba kwa gsm pesa ya kuhonga wapiga kura.
Sina matumaini tena.Hapa ni michezo ya kuiguza tu ndio inafanyika kama miekeka ya wwe.
Nadhani ni muda sahihi wa kupumzika kushabikia ujinga
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app