Sitaki kuwa mnafiki, Simba atafungwa Taifa

Sitaki kuwa mnafiki, Simba atafungwa Taifa

Ukisema Simba atafungwa moja kwa moja utakuwa hutendi haki, Kwan kundi D kila timu inaweza kushinda ikichanga vizuri karata yake.
HAKUNA aliyeamini Kama Simba angemfunga ahaly pale kwa mchina [emoji41] (kwa mkapa samahani)
Ukichunguza vizuri kwa Sasa HAKUNA ungerdog club, kila timu imeonyesha uwezo wake hususan kwenye viwanja vya NYUMBANI!

Kuelekea jumamos Sina Shaka Simba atazichanga vyema karata zake, kwa sababu zifuatzo;

Mosi, as vita atatupania Kama alivyotupania ahaly, hivyo watakachotuna nacho wataenda kumsimulia Felix Tchiseked kwanini sisi ni Simba.
Pili, yeye Ana point Saba, sambamba na misri, hivyo atafunguka mwanzo mwisho ili apate goli la mapema, na ikiwezekana apate magoli mengi wakati huo Simba haitaleta masihara, mbele lazima okwi, kagere, boko culibaly, na chama watakuwepo mbele, japo chama huwa ananiboa Sana. Anapenda vituchenga vya ajabu ajabu Sana utani anacheza na timu ya wananchi (yanga) badala apige mbele yeye huwa anamsubiria adui wakati Hana nguvu!

Lakini inshallah kwa mchina hachomoki mtu, DO or DIE kitaeleweka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaujua ukwel ila wabish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisema Simba atafungwa moja kwa moja utakuwa hutendi haki, Kwan kundi D kila timu inaweza kushinda ikichanga vizuri karata yake.
HAKUNA aliyeamini Kama Simba angemfunga ahaly pale kwa mchina [emoji41] (kwa mkapa samahani)
Ukichunguza vizuri kwa Sasa HAKUNA ungerdog club, kila timu imeonyesha uwezo wake hususan kwenye viwanja vya NYUMBANI!

Kuelekea jumamos Sina Shaka Simba atazichanga vyema karata zake, kwa sababu zifuatzo;

Mosi, as vita atatupania Kama alivyotupania ahaly, hivyo watakachotuna nacho wataenda kumsimulia Felix Tchiseked kwanini sisi ni Simba.
Pili, yeye Ana point Saba, sambamba na misri, hivyo atafunguka mwanzo mwisho ili apate goli la mapema, na ikiwezekana apate magoli mengi wakati huo Simba haitaleta masihara, mbele lazima okwi, kagere, boko culibaly, na chama watakuwepo mbele, japo chama huwa ananiboa Sana. Anapenda vituchenga vya ajabu ajabu Sana utani anacheza na timu ya wananchi (yanga) badala apige mbele yeye huwa anamsubiria adui wakati Hana nguvu!

Lakini inshallah kwa mchina hachomoki mtu, DO or DIE kitaeleweka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba wamechoka sana
 
Ukisema Simba atafungwa moja kwa moja utakuwa hutendi haki, Kwan kundi D kila timu inaweza kushinda ikichanga vizuri karata yake.
HAKUNA aliyeamini Kama Simba angemfunga ahaly pale kwa mchina [emoji41] (kwa mkapa samahani)
Ukichunguza vizuri kwa Sasa HAKUNA ungerdog club, kila timu imeonyesha uwezo wake hususan kwenye viwanja vya NYUMBANI!

Kuelekea jumamos Sina Shaka Simba atazichanga vyema karata zake, kwa sababu zifuatzo;

Mosi, as vita atatupania Kama alivyotupania ahaly, hivyo watakachotuna nacho wataenda kumsimulia Felix Tchiseked kwanini sisi ni Simba.
Pili, yeye Ana point Saba, sambamba na misri, hivyo atafunguka mwanzo mwisho ili apate goli la mapema, na ikiwezekana apate magoli mengi wakati huo Simba haitaleta masihara, mbele lazima okwi, kagere, boko culibaly, na chama watakuwepo mbele, japo chama huwa ananiboa Sana. Anapenda vituchenga vya ajabu ajabu Sana utani anacheza na timu ya wananchi (yanga) badala apige mbele yeye huwa anamsubiria adui wakati Hana nguvu!

Lakini inshallah kwa mchina hachomoki mtu, DO or DIE kitaeleweka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya Al Ahly na As Vita ni kwamba Al Ahly alikuwa anahitaji sare au ushindi ndio maana wakacheza kwa kurelax siku ile ila As Vita ili afuzu anahitaji ushindi tu.
 
Mleta mada watakuelewa tu baada ya dk 90 Siku ya J.mosi usiku. Sasa hivi bado wana kiburi, hila baada ya mechi akili yao itawarudia.
Wanakimbiaga hapa. Yaani kadri siku zinavyosonga ndio na wao wanazidi kupungua katika kuandika.

Wakipata matokeo ndio utawaona hapa jumapili tena wakiwa na POVU lao la kutosha.
 
Wanajua hawawezi kushinda wapo kutafuta sababu za kuwa walicheza wakiwa wamechoka, walipotoka algeria hawakukaa kambini na sababu zingine nyingi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom